Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,175
- 4,299
Kila kitu kina mwanzo wake na ukiamua liwe MUNGU huwa anabariki jitihada Kama nauli ya bad n 20k hakikisha Unasafiri kwa 10k la unakula milo mitatu jaribu kula katikati ya mchana na usiku pata mbuz zako 15 au 10 uza Buchan au jikon Rudi fasta kafunge mzigo baada ya mwez mtaji utakuwa unakupa moyoMkuu... Sasa kwa kijana kama mimi nitaanzaje na kamtaji kenyewe laki tatu... Kuna kutoka hapo kwel au
Vipi Bei iko je huko mashambani kwa sasa na upatikanaji wake?Nimefanya upekuzi wa mazingira ya kondoa mpaka kiwandani . Ni hivi kwa sasa wakulima wamepata hela ya mbaazikwahiyo mbuzi wana bei kidogo . Kwa mujibu wa ushauri wa mwenyeji wangu alishauri nianze mwezi wa 11. Hata hivyo tar 15 Oct naanza mdogo mdogo. Kiwandani soko lipo wazi kabisa na bei ni 8500/kg. Karibu tupambane
Mbuzi hana changa, to kumfuga maana wenyewe hata wakati wa kiangazi wanna survive Sana. Mimi nina mpango wa kuanza ufugaji. Kama kuna chimbo la Bei nzuri nipe mtonyoSolution hapa ninayoiona ni mtu kuingia chimbo na kuanza kufuga mwenyewe huko usingidani au popote. Labda sasa aje mtu mwenye uzoefu na ufugaji atuelezee changamoto zake. Kwasababu kwa mtizamo wangu ukiweza kufuga ukauza mbuzi hapo kiwandani na ukawa na uwezo wa kusupply consistently basi unaweza kumaximize faida mara dufu.
Nime ku PM nduguJana kulikua na mnada mtiriangwi,minada inaenda kwa tarehe Leo ulikuwepo Gwandi Wilaya ya Chemba!
Usafiri upo kuna magari ya minada pia!Mimi nilienda majuzi nilienda majuzi nimesavei sana tu!ukiwa tayari ntafute!
Mzigo pesa yako tu!
followingVipi Bei iko je huko mashambani kwa sasa na upatikanaji wake?
Aisee pole sana. Nadhani account yangu ulipata shida kidogo nadhani **** , tu Ali hack ikabadilishwa email hivyo kila nilijaribu kukoment inakataa.Fursa vp mbona umefunga DM.....nimekuchek
Hivi we jamaa unawashwa ama? Nilikutana uthibitishe utapeli wangu utaweza?Achana na matapeli mkuu
Nilienda Soga kiwandani kwa kweli wale watu wamejipanga and they mean business. Ila kuna new strategy ambayo wamekuja nayo kwamba wameanzisha centres huko huko za kununua, hivyo ile adha ya kusafirisha wamempunguzia supplier ila hapa naona hapa kutakuwa na changamoto kwasababu wenyeji wakishalijua hili soko hawatahitaji kutuuzia tena sisi watu wa kati ambao tutaenda kuuza kiwandani. Hapo ndipo linalokuja lile wazo langu la kuanzisha shamba la ufugaji, hamna namna nyingine.
Wakifanya kulipa baada ya mzigo kufika kiwandani basi soko litaendelea kuwepo.Mkuu!! Hizo centers za kununua wanatumia utaratibu upi kuhusu malipo? Mzigo unapelekwa kiwandani ndo unalipwa au wanapima live weight?
Safi sanaJana kulikua na mnada mtiriangwi,minada inaenda kwa tarehe Leo ulikuwepo Gwandi Wilaya ya Chemba!
Usafiri upo kuna magari ya minada pia!Mimi nilienda majuzi nilienda majuzi nimesavei sana tu!ukiwa tayari ntafute!
Mzigo pesa yako tu!
Imepanda kumbe safi sanaNimefanya upekuzi wa mazingira ya kondoa mpaka kiwandani . Ni hivi kwa sasa wakulima wamepata hela ya mbaazikwahiyo mbuzi wana bei kidogo . Kwa mujibu wa ushauri wa mwenyeji wangu alishauri nianze mwezi wa 11. Hata hivyo tar 15 Oct naanza mdogo mdogo. Kiwandani soko lipo wazi kabisa na bei ni 8500/kg. Karibu tupambane
Haya ni maswali ya pm mkuu, karibu.
Hii njia haipo reliable sana. Labda kwa standard breed za mbuzi au Ng'ombeHii tape inatumika kupima uzito wa mifugo kama mbuzi na nguruwe.
KWA wale ambao tunataka kuanza biashara ya Mbuzi nadhani itatufaa Sana kwenye kuweza kufanya makadirio ya kilo titakazo pata kiwandani ama popote pale
Ninaitafuta sema kwa hapa bongo sijui inapatikana wapi? View attachment 1960667View attachment 1960668View attachment 1960669
Lengo ni kupata estimationsHii njia haipo reliable sana. Labda kwa standard breed za mbuzi au Ng'ombe
Kuna jamaa Instagram wanaumia jina la joackcompany wanazo hizoHii tape inatumika kupima uzito wa mifugo kama mbuzi na nguruwe.
KWA wale ambao tunataka kuanza biashara ya Mbuzi nadhani itatufaa Sana kwenye kuweza kufanya makadirio ya kilo titakazo pata kiwandani ama popote pale
Ninaitafuta sema kwa hapa bongo sijui inapatikana wapi? View attachment 1960667View attachment 1960668View attachment 1960669
Shukrani nime check page yaoKuna jamaa Instagram wanaumia jina la joackcompany wanazo hizo
Shukrani sana mkuuShukrani nime check page yao