Kama una mtaji hizi ndio Ajira mkononi

Kama una mtaji hizi ndio Ajira mkononi

Wabongo tunapenda sana uchuuzi..

Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..

Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..

Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.

Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..

Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Wewe umebuni nini? Isije ikawa unawashangaa wenzio kumbe we mwenyewe huna ulilofanya.
 
Vipi ukajibana na kujidunduliza kisha uwekeze kwenye real estates wakuu hapa simanishi kuwa na malls au apartments lahasha.
Hapa namanisha unatafuta plots hata tatu kando kidogo ya mji unajenga nyumba au vyumba viwili, choo na sebule jitahidi kila mmoja ajitegemea umeme na maji pia fensi ya ukuta kwajili ya ulinzi.
Nawasilisha.
Hii ni mipango mikubwa kidogo tofauti na maelezo ya maada
 
Wabongo tunapenda sana uchuuzi..

Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..

Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..

Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.

Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..

Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Hiyo ndio shida yenu wenye elimu kudharau wasio na elimu mkidhani hawataweza kutobo mwisho wa siku hao wasiosoma wanajichukulia point kadhaa za ushindi mapema.

Biashara sio maneno , vitendo, uvumilivu, imani, kujituma, heshimu watu na ubunifu hata kama na degree zako zimelala kichwani ukienda haraka unalazwa chali.

Sanaa ingekuwa rahisi basi kila mmoja angekuwa muandika mashairi jaribu kuvipa thamani vipaji vya watu sio kwa sababu msomi ukategemea kila jambo utalifanya kwa wepesi bila kupambana.
 
Wabongo tunapenda sana uchuuzi..

Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..

Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..

Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.

Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..

Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Suala sio form four failure je kichwa kinawaza nini?

Biashara nzuri ni manufacturing
Tuache biashara za uchuuzi
Kuna jamaa humu ana uzi wake wa machine mbalimbali huyu jamaa ame ni inspire sana

Kuna vitu ukiangalia tu na wewe unaweza kutengeneza chako mfano machine ya kukunia nazi hii kitu me nikikaa nayo masaa 2 tu natengeneza yanguu

Na sio lazima ujue Kila kitu ili kuweza kufanya Kila kitu technologia ni rahisi sana siku hizi fursa kibao graduates wanasubiri ajira!
 
1.Dox la viatu soko lake memorial Moshi Kilimanjaro
2.Sigara maeneo ya city center
3.Vitabu mbali mbali
4.Vitu vya watoto na urembo
5.Ma cover ya simu na protector
6.Mikoba
Niliwahi kusema humu aina za mawazo ya Biashara za sisi Wabongo yanatia wasiwasi sana, Hizi Biashara ni za kusaidia Familia ila sio biashara endelevu kamwe
 
Level MUST tunaanzia small scale kwa target [emoji457][emoji457][emoji457] wakuu mm nmelima vitunguu swaumu kwa SIMU ntawapa mrejesho though natumiwa FOTO ya kila stage navuna wa 9.. INSHALLAH
😂😂😂
Na uko serious kabisa bro? Anyway labda anayekulimia na kusimamia ni malaika Gabriel.
 
Wabongo tunapenda sana uchuuzi..

Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..

Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..

Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.

Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..

Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Hilo la kutunga nyimbo linahitaji kipaji

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Wabongo tunapenda sana uchuuzi..

Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..

Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..

Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.

Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..

Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Sasa mkuu kutunga nyimbo ndo biashara ya graduates et.
 
Back
Top Bottom