Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umebuni nini? Isije ikawa unawashangaa wenzio kumbe we mwenyewe huna ulilofanya.Wabongo tunapenda sana uchuuzi..
Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..
Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..
Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.
Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..
Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Isije kuwa photos zinapigwa kwenye shamba la mtu mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]Level MUST tunaanzia small scale kwa target [emoji457][emoji457][emoji457] wakuu mm nmelima vitunguu swaumu kwa SIMU ntawapa mrejesho though natumiwa FOTO ya kila stage navuna wa 9.. INSHALLAH
Hii ni mipango mikubwa kidogo tofauti na maelezo ya maadaVipi ukajibana na kujidunduliza kisha uwekeze kwenye real estates wakuu hapa simanishi kuwa na malls au apartments lahasha.
Hapa namanisha unatafuta plots hata tatu kando kidogo ya mji unajenga nyumba au vyumba viwili, choo na sebule jitahidi kila mmoja ajitegemea umeme na maji pia fensi ya ukuta kwajili ya ulinzi.
Nawasilisha.
Wewe umebuni nini? Isije ikawa unawashangaa wenzio kumbe we mwenyewe huna ulilofanya.
Hiyo ndio shida yenu wenye elimu kudharau wasio na elimu mkidhani hawataweza kutobo mwisho wa siku hao wasiosoma wanajichukulia point kadhaa za ushindi mapema.Wabongo tunapenda sana uchuuzi..
Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..
Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..
Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.
Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..
Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Hongera kwa kilimo cha simuLevel MUST tunaanzia small scale kwa target [emoji457][emoji457][emoji457] wakuu mm nmelima vitunguu swaumu kwa SIMU ntawapa mrejesho though natumiwa FOTO ya kila stage navuna wa 9.. INSHALLAH
Suala sio form four failure je kichwa kinawaza nini?Wabongo tunapenda sana uchuuzi..
Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..
Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..
Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.
Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..
Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Zote hizi ni biashara kichaa1.Dox la viatu soko lake memorial Moshi Kilimanjaro
2.Sigara maeneo ya city center
3.Vitabu mbali mbali
4.Vitu vya watoto na urembo
5.Ma cover ya simu na protector
6.Mikoba
Watu hawataki kuumiza kichwa wanapenda vitu rahisiZote hizi ni biashara kichaa
7. Kuingiza nyimbo kwenye simu1.Dox la viatu soko lake memorial Moshi Kilimanjaro
2.Sigara maeneo ya city center
3.Vitabu mbali mbali
4.Vitu vya watoto na urembo
5.Ma cover ya simu na protector
6.Mikoba
Mkubwa sasa hivi wameamia telegramKilimo cha tikiti huko whatsup
Niliwahi kusema humu aina za mawazo ya Biashara za sisi Wabongo yanatia wasiwasi sana, Hizi Biashara ni za kusaidia Familia ila sio biashara endelevu kamwe1.Dox la viatu soko lake memorial Moshi Kilimanjaro
2.Sigara maeneo ya city center
3.Vitabu mbali mbali
4.Vitu vya watoto na urembo
5.Ma cover ya simu na protector
6.Mikoba
😂😂😂Level MUST tunaanzia small scale kwa target [emoji457][emoji457][emoji457] wakuu mm nmelima vitunguu swaumu kwa SIMU ntawapa mrejesho though natumiwa FOTO ya kila stage navuna wa 9.. INSHALLAH
Ya Biashara za wasomi wetu7. Kuingiza nyimbo kwenye simu
8. Kuuza CD za movie za kibongo na za nje
Biashara za Wasomi wetuZote hizi ni biashara kichaa
Petty tradeNiliwahi kusema humu aina za mawazo ya Biashara za sisi Wabongo yanatia wasiwasi sana, Hizi Biashara ni za kusaidia Familia ila sio biashara endelevu kamwe
Hilo la kutunga nyimbo linahitaji kipajiWabongo tunapenda sana uchuuzi..
Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..
Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..
Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.
Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..
Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?
Sasa mkuu kutunga nyimbo ndo biashara ya graduates et.Wabongo tunapenda sana uchuuzi..
Yaani kuuza mikoba sijui nguo. Hizo biashara za kika mtu..
Graduate unatakiwa ufanye biashara za kibabe. Yaani hata ukifa wateja wakumiss..
Mfano kuandika mashairi ya wimbo wa bongofleva ni kazi rahisi sana kuliko kufanya mtihani wa kiswahili wa form 4 ama wa form 6.
Why graduates usianzishe biashara ya kutunga nyimbo na kuwauzia wasanii.. kina ruby na nandy hawawezi kukunyima hela kama unaandika nyimbo nzuri wao wanaimba tu..
Ama unacheza na youtube. Content za kufa mtu.. mtaji wako camera tu.. maana mama samia ameshafuta tozo za leseni... yaani millard form 4 failure anaweza.. wewe graduates huwezi buni content za kukupa jina na pesa youtube kweli?