Kijana kumbe huna taarifa za Eneo lako unaloishi, emu uliza hao watumishi wa afya hapo kila siku wanaenda kubanana huko Mbweni hospital ofisi ya Physiotherapist kufanya mazoezi ya viungo bure bure alafu hao ndo utegemee waje kulipia Gym??Una mawazo mgando sn kwahyo unaona kila mtu maskini,! Kwa taarifa yako kuna watumishi zaidi ya 70 idara afya, elimu, Halmashauri had polisi tuko willing na gym ata kiingilio ikiwa laki Tatu kwa mwezi, tumekosa gym kias kwamb mpk tunakuwa na jogging za watumishi.
Mkuu umenena vyema sana, naona kijana pengine hajawahi kufanya biashara. Utafunguaje biashara sehemu kwa kutegemea wateja watumishi wa umma ambao hawazidi 100 ambao wanategemea mshahara wa mwisho wa Mwezi? Na kati ya hao watumishi asilimia 90 hawana interest na Gym ya kulipia zaidi ya kufanya jogging ya bila gharama.Huko bado sana, ,,, utaambulia kupata watu 10 mwezi mzima mpaka hela irudi ni lini ? Gym nzuri ya kisasa yenye vifaa vinavyoendana na wakati plus jengo lenye mabafu, ufunge Ac, umeme, maji uweke mziki mzuri sio chini ya 80m ! Hio pesa kwa huko handeni ni sawa na kuizika !
Mkuu umenena vyema sana, naona kijana pengine hajawahi kufanya biashara. Utafunguaje biashara sehemu kwa kutegemea wateja watumishi wa umma ambao hawazidi 100 ambao wanategemea mshahara wa mwisho wa Mwezi? Na kati ya hao watumishi asilimia 90 hawana interest na Gym ya kulipia zaidi ya kufanya jogging ya bila gharama.
Changamoto sana yani kwa huo uwekezaji