Kama una Ndugu au Mpenzi anafanya Biashara ya Magendo ya Mkaa Mlandizi na Kibaha mwambie aache kwani Askari Maliasili wa huko sasa hawatanii

Huenda kuna jinsi wakishachomoka huko ndani wakifika huku barabarani huwezi watofautisha na wachuuzi wa halali. kwahiyo ni kuwawahi huko huko.
Bado sio stahiki ya kuwaua, wachukue hatua nyingine.
 
Duuuh
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hivi kwa mini gesi isipungue bei hadi sh 8000 tu kilimo sasa sh 26 mtungi mdogo Roxy
 
Mkuu wewe utakuwa ni wale wastaafu wa ikulu nazisoma code zako ni kama unajaa kwenye ramani zangu.. bado naendelea na intelligence yangu
 
Mkuu wewe utakuwa ni wale wastaafu wa ikulu nazisoma code zako ni kama unajaa kwenye ramani zangu.. bado naendelea na intelligence yangu
Nimecheka sana na mno Mkuu wangu.
 
Fujo zinatokea ,na polisi nao waliumizwa,ila kutumiaa risasi za Moto halikua Jambo zuri,sio la kufumbia macho
Kwahyo uko mlandizi ad wauza mkaa wamtaani yaan wale wamajumban wanaouza mkaa wakupima wamakopo wanahitaji wawe na vbali ?
Ama wenyewe mambo n shwari tu wanauza bla usumbufu
Kwan Mimi pia natamani nifanye Io biashara ya mkaa ya Kwa kopo nasyo Kwa jumla huko mlandizi.Je na hyo pia inahtaj vbali
 
Siku hizi ni hatari kuingia ingia bila taarifa kwenye hifadhi za wanyama na misitu utapoza maisha. Wanyama na miti vinathaminiwa zaidi kuliko binadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…