Kama una pesa usithubutu kumpeleka mwanao shule ya serikali

Kama una pesa usithubutu kumpeleka mwanao shule ya serikali

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Shule za serikali sio shule, watoto huku ndiyo wanapoanza kuharibika kitabia. Walimu wengi wanachojua ni kupiga viboko na matusi.

Narudia usithubutu!
 
tuwapeleke wapi sasa.

ushindwe kulea toto lako vizur useme likaharibike shule za serikali sisi tumesoma huko mbona hatujaharibika?

lqbda ushauri kwa elimu bora na yaushindani kimataifa mpeleke mtoto shule za private tena zile zenye viwango ila swala la maadili tabia na mfumo wa maisha llni kuanzia nyumbani.

ukishindwa kufundisha hilo ustarajie hata seminari wanaweza maana huko seminari tunaskia kesi kibao wanafunzi wanaiba hadi mifugo
 
Shule za Serikali sio shule
Watoto huku ndo wanapoanza kuharibika kitabia

Walimu wengi wanachojua Ni kupiga viboko na matusi
Narudia usithubutu
ISAIDIE SEREKALI YAKO RIPOTI MATUKIO YA AINA HII.
KULALAMA HAKUWEZI KUTUSAIDIA.
 
Sikujua kama serikali imeajiri watesaji mashuleni. "Walimu wengi wanachojua ni kupiga viboko na matusi" kadiri ya mleta mada!

Mkuu ingekuwa vema kama ungewaripoti hao walimu, maana siyo tarajio la serikali inapoajiri walimu!
 
Mm nina mfano wa mtoto mmoja wakiume wa miaka 9 alikua akisoma hizo shule za private ...badae mamaake aligundua alikua akigeuzwa nyuma yaan alishaharibika na hapo uyo mtoto alikua la 5....anaenda na school bus na kurudi nalo....sometimes tunatakiwa kuwaombea watoto wetu na turudi kwenye utamaduni wakukagua watoto wetu nakuongea nao.....
 
Sikujua kama serikali imeajiri watesaji mashuleni. "Walimu wengi wanachojua ni kupiga viboko na matusi" kadiri ya mleta mada!

Mkuu ingekuwa vema kama ungewaripoti hao walimu, maana siyo tarajio la serikali inapoajiri walimu!
HAO WANAOTESA WATOTO WANAWEZA KUFUKUZWA TU,KWANI MITAANI BADO WAPO WENGI SANA WASIO NA KAZI.
#DR.MKENDA.
 
Shule za serikali sio shule, watoto huku ndiyo wanapoanza kuharibika kitabia. Walimu wengi wanachojua ni kupiga viboko na matusi.

Narudia usithubutu!
Shame,shame yani wewe ni wale lumbukeni,shule za serikali ndo shule nzuri kwa taarifa yako,yani umekurupuka kuandika usichokijua ili uonekane nawe una uzi,fimbo inamnyoosha mtoto anakuwa na tabia nzuri,nakumbuka kipindi nasoma shule ya sanawari arusha kuna mwalimu aliitwa mdee na mwalimu mollel yani hawa walimu wanachapa sijawahi ona,kipindi kile ukichelewa kushika namba unachapwa fimbo za mkono mpaka unakufa gazi,nawashukuru sana hao walimu maana wamenifanya niwe ngangari,fimbo imeandikwa kwenye biblia mtoto lazima achapwe ili ajue kuwa akikosea atachapwa tena,watoto wanaosoma hizo shule za mabus asilimia kubwa wengi wao huwa wanaharibikiwa sana,fimbo zinatakiwa zisiondolewe shuleni
 
Back
Top Bottom