Mwanasayansi Kalivubha
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 344
- 926
Mbona hizo sifa zote ni za kike?KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA [emoji17]
1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza.
2.Mtu wa kulalamika tu.
3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu.
4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako.
5.Mtu wa kususa hovyo.
6.Unajitetea sana
7.Bado una utoto wa kutaka kila kitu upate kwa wakati.
8.Huna siri.
9.Vijiweni muda mwingi na huna cha maana huko.
10.Bado unajifariji kwa kauli za " MAISHA NDIO HAYA HAYA"
#Helo Aprili, robo ya kwanza ya mwaka [emoji4]
#Mwanasayansi Saul kalivubha.
Fikia Ndoto zako.
Hivi...siku ya wajinga ni liniKAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA π
1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza.
2.Mtu wa kulalamika tu.
3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu.
4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako.
5.Mtu wa kususa hovyo.
6.Unajitetea sana
7.Bado una utoto wa kutaka kila kitu upate kwa wakati.
8.Huna siri.
9.Vijiweni muda mwingi na huna cha maana huko.
10.Bado unajifariji kwa kauli za " MAISHA NDIO HAYA HAYA"
#Helo Aprili, robo ya kwanza ya mwaka π
#Mwanasayansi Saul kalivubha.
Fikia Ndoto zako.
Hizo sifa ni za maskiniKAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA π
1.Kila changamoto inakuliza na kukuumiza.
2.Mtu wa kulalamika tu.
3.Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu.
4 .Hutaki kuwajibika kwa makosa yako.
5.Mtu wa kususa hovyo.
6.Unajitetea sana
7.Bado una utoto wa kutaka kila kitu upate kwa wakati.
8.Huna siri.
9.Vijiweni muda mwingi na huna cha maana huko.
10.Bado unajifariji kwa kauli za " MAISHA NDIO HAYA HAYA"
#Helo Aprili, robo ya kwanza ya mwaka π
#Mwanasayansi Saul kalivubha.
Fikia Ndoto zako.
π ndio maana kijana wa kiume hupaswi kuwa nazoMbona hizo sifa zote ni za kike?
Ukiwa na tano tuSifa zote kwa pamoja au hta ukiwa na moja wapo katika hzo
π π€£ π πHizo sifa ni za maskini
Mbona unamsema shemeji yetu na mvua lote hili linanyesha, akiona je?Hapo no 4-8 kuna mtu zinamuhusu ni tabia zake ila hajioni kabisaaa yy hupenda kujiona Saint na habadiliki. Nitazichukua nimtumie mana elimu yake haijamsaidia
π€£π€£π€£π€£ ww umejuaje ni tabia za shemeji yako??Mbona unamsema shemeji yetu na mvua lote hili linanyesha, akiona je?
Namna umeshtuka na kukubaliana na mleta mada hapo ndipo nilipoona kuna hoja ya kujibiwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ww umejuaje ni tabia za shemeji yako??