princebujonde
Senior Member
- Jan 7, 2013
- 198
- 55
Mkuu nimecheka sanaaaa....[emoji23][emoji23][emoji23] *Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri maswali"[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]*
We endelea kusubiri sisi tushaosha masufuria,, hata ukoko hutaupata
Nimeshaandaa zana zangu, Nasubiri mwaliko
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
Nimetembea mtaa mzima leo, sahv nimerudi kwangu na kutoa maji baridi kwenye friji, hapa nimeshakunywa maji na kupumzika, Nimeshiba harufuWe endelea kusubiri sisi tushaosha masufuria,, hata ukoko hutaupata
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nimetembea mtaa mzima leo, sahv nimerudi kwangu na kutoa maji baridi kwenye friji, hapa nimeshakunywa maji na kupumzika, Nimeshiba harufu
[emoji39] [emoji39] [emoji39]Nimetembea mtaa mzima leo, sahv nimerudi kwangu na kutoa maji baridi kwenye friji, hapa nimeshakunywa maji na kupumzika, Nimeshiba harufu
Mkuu ni ww tu awajakualika mi nmenda kibabe[emoji35] [emoji35]Nawakumbusha Waislam wote ambao hamjanialika kula Eid, bado miezi mitano{5months} ifike Christmas [emoji319].
Sialiki mtu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji115] [emoji115]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwalimu aliingia aliingia darasani akawambia wanafunzi, mtoto ambae ni mjinga asimame!, Madenge kasimama. Mwalimu; wewe ni mjinga?!. Madenge; mwalimu nimeona usisimame peke yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] mkuu apo ndyo tuchangamke kuwapeleka wanawake wetu uko kibiti na mwanamke atakaye enda uko ni mwanamke suluari[emoji23] [emoji23] [emoji23]MTU ASIPOTAKA KITU UTAJUA TU
Girl: Baby kila sikukuu za eid zikifika wenzangu
wanapelekwa out na baby zao mara
serengeti, mara Zanzibar kwann
wewe hunipeleki?
Boy: sikukuu hii nitakulepeka
Girl: waooooo bby asante umeplan
kunipeleka wapi?
Boy: ntakupeleka KIBITI
Gil: nyoooo!! kafe mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shenz kabisaCharlee:Mambo
mrembo naitwa
solomoni
Dem:So...?
Charlee:lomon
[emoji23][emoji23][emoji23]
[Emoji125]Shenz kabisa