Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Nawakumbusha Waislam wote ambao hamjanialika kula Eid, bado miezi mitano{5months} ifike Christmas [emoji319].
Sialiki mtu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji115] [emoji115]
 
Mwalimu aliingia aliingia darasani akawambia wanafunzi, mtoto ambae ni mjinga asimame!, Madenge kasimama. Mwalimu; wewe ni mjinga?!. Madenge; mwalimu nimeona usisimame peke yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ed3b4c25aeee80e13a2c2e733ebe8af9.jpg

Nimeshaandaa zana zangu, Nasubiri mwaliko
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
 
Nawakumbusha waislamu wote ambao hamjanialika kuwa bado miezi 6 christmass ifike,ni ilo tu kwa leo.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nawakumbusha waislamu wote ambao hamjanialika sikukuu hii ya Eid kuwa bado miezi mitano tu christmass ifike. Ni ilo tu kwa leo
 
Nawakumbusha Waislam wote ambao hamjanialika kula Eid, bado miezi mitano{5months} ifike Christmas [emoji319].
Sialiki mtu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji115] [emoji115]
Mkuu ni ww tu awajakualika mi nmenda kibabe[emoji35] [emoji35]
 
Mwalimu aliingia aliingia darasani akawambia wanafunzi, mtoto ambae ni mjinga asimame!, Madenge kasimama. Mwalimu; wewe ni mjinga?!. Madenge; mwalimu nimeona usisimame peke yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
MTU ASIPOTAKA KITU UTAJUA TU

Girl: Baby kila sikukuu za eid zikifika wenzangu
wanapelekwa out na baby zao mara
serengeti, mara Zanzibar kwann
wewe hunipeleki?

Boy: sikukuu hii nitakulepeka

Girl: waooooo bby asante umeplan
kunipeleka wapi?

Boy: ntakupeleka KIBITI

Gil: nyoooo!! kafe mwenyewe

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] mkuu apo ndyo tuchangamke kuwapeleka wanawake wetu uko kibiti na mwanamke atakaye enda uko ni mwanamke suluari[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom