emanuely gaithan
New Member
- Dec 7, 2015
- 2
- 1
[quote uid=153894 name="Freyzem" post=19587375]Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!<br />Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!<br /><br /><font color="BLUE">Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?<br />Yaani had sasa<br />bado najiuliza nilipokosea.</font><br /><br /><font color="RED">Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!<br />Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]<br />I think nakaribia kupona</font><br /><br /> <font color="GREEN">Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.<br />Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..</font><br /><br />Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia<br />Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57][/QUOTE]<br />Kijana unaweza kufanya stand up comedy...umenichekesha kabla sijalala leo....asante.
luge tz
luge tz