*Trafic Mmoja Alikua Akikagua Madaftari ya Watoto wake Wawili..*
*[emoji117]Daftari la Mwanawe Mkubwa hakulipenda,*
*"Kwa hasira Akamfokea sana,"*
*Wee kwanini hufanyi vizuri Shuleni?*
*Huna Akili wee*
*[emoji117]Akachukua Daftari la Mdogo*
*"Vile Kulitazama tu,*
*"Akamrudishia Daftari lake kisha Trafic huyoo Akaondoka zake bila Kusema lolote.*
*[emoji117]Yule Mtoto Mkubwa Akamuuliza Mdogo wake..!!*
*"Khhh...!! Sasa mbona wewe hajakufokea?*
*Ina mana wewe una Akili sana?*
*[emoji117]Dogo Akajibu,*
*"Bro Usipanick..*
*Kwani hujui Baba ni Trafic..!!*
*"Nimemuwekea Sh's.10,000/= kwenye Daftari.*
[emoji1540][emoji767]