daneyodry
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 350
- 227
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, kaonwa na darubinj nazan[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji134] [emoji28] [emoji28] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nimecheka karibu kuzimiaUpo Facebook baada ya kutoka. kazn Unalog in unakuta boss wako kaapload picha Nafamilia yake ukichek cm ipo Asilimia 3 kwakua n boss unataka Ucoment kapongez kidogo Kwa maneno ya kingereza Unaandika Cool pics Ila cm Ina Autocorect ikajtype [HASHTAG]#Cool[/HASHTAG] Pigs Ile kushtuka cm Imezma
Wala usihangaike broo Tafuta kaz nyngne [emoji23][emoji23]
Hahahaaaa uwiiiiii
Duuuuuh unafikiria sanaAfu raia bana[emoji23]
Hospitali za serikali hamzitaki
Shule za serikali hamzitaki
Usafiri wa uda hamtaki
Lakini ajira za serikali sasa..nafasi 3 mnaomba watu 20,000[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hlo kwel ni tatzoMATATIZO NI NINI?
Tatizo nipale boyfriend wako anapo kutambulisha kwa Mama yake ambaye ndo nesi mtoa mimba zako
[emoji41][emoji144]
upuuuzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani tuwe makini na vyakula vya njiani!!
Kuna jirani yangu hapa katoka kazini kafika Sinza mori akakuta pweza basi akala pweza wa buku na kachori za mia tano! Akaomba na supu ya pweza ya mia tatu akashushia!
Baadae kaelelekea nyumbani kwake kamkuta mkewe akamuomba maji ya kunywa alipopewa akayanywa kisha akavua viatu, mkewe akamtengea maji ya kuoga baada ya kuoga akawa anapitia madaftari ya wanae, alipomaliza akajumuika na familia kula Chakula cha usiku kisha wakalala huku wamefunga milango yote.
Asubuhi kaamka, baada ya kuoga kavaa vizuri tu kaenda kazini... kwa ujumla Yuko vizuri katika kazi na anapiga kazi kama kawaida.
Kama hujaipenda andika na wewe ya kwako!...
Dah.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mfungwa mmoja baada ya kukaa jela miaka 12 akafanikiwa kutoroka basi kajificha ficha mpaka kufika nyumbani kwake saa 2 usiku kagonga mlango mkewe kamfungulia. Swali la kwanza mkewe akamuuliza penye TV imetangazwa umetoroka asubuhi sasa muda wote huu niambie ulikuwa wapi? jamaa akaamua kwenda kituo cha polisi ili arudi jela.
Madhara ya bangi!UEAFA CHAMPIONS LIGUE
*Group K*
1.Arsenal
2.Misosi fc
3.Gomsi United
4.Mlalakuwa rangers
[emoji4][emoji4][emoji4]
Ukishakua ndio utakua na SHUAhu
wenda but am no sure
Chupi[emoji2]HILI SWALI HADI LEO SIJAPATA JIBU LAKE..
Kipi kinavuliwa saana SAMAKI au CHUPI?[emoji1321]