Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

WAZUNGU
Mtoto akitaka kulala mzaz anaanza kumsomea hadith nzur kweny kitabu zenye mafundisho ya watoto mpaka mtoto analala.
WABONGO
Mtoto akitaka kulala anatishwa,utasikia "wewe hebu lala upesi eeh dudu hilo,dudu hilo!,nazima taa nazima. [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Mambo-ya-Pesa
*Kuna dem mmoja kaja home kaniomba pesa nikamwambia sina cash labda bank au M pesa akanambia hapo barabarani kuna wakala twende tukatoe, wakati tunatoka nikamtext mshikaji wangu nikamwambia mi nakuja hapo kwa wakala nikifika karibu nitajifanya kama naongea na simu halafu we utakuja kunipora. Kweli tumefika karibu na wakala mshikaji kaja kanipora simu kakimbia nayo mi nikabaki nashangaa kama cjui kitu cha ajabu yule demi kakimbizana na mshikaji cjui kamkamatia wapi kaja anampiga makofi jamaa yuko hoi dem kanigea simu nimetoa hela nimempa kaondoka hapa mshikaji nae kaniganda nimpoze maana sio kwa vitasa alivyochezea na shati lake limechanika hata cjui nifanyeje*

wanawake wa JPM hawataki masihara[emoji3][emoji3]
 
Mia tanu mkato sufuri sufuri mkato sufuri sufuri nukta tansanias shingilingi!...
Nimejaribu, maana me form one C...
Duh wewe mwenzangu form one C....,. Mie
STD IV ile ya wahenga.Asante kwa ufafanuzi.
 
Leo kwenye daladala wakati natoka Mbagala ilikuwa imejaza kishenzi, sasa kuna mdada tukawa tumepeana migongo, dadeki mdada alikuwa kajazia[emoji3][emoji3] basi namimi nikawa nampiga kama vile jogoo, yaani full kumjambia[emoji13] [emoji13] [emoji13] sijui kama hana mimba[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
UKIAMBIWA TANGA KUNA RAHA UWE UNAELEWA

Tanga hata majina ya mabasi yanakupa raha, yaani Tanga utakuta mabasi kama RAHA LEO, TAWAKAL, BEMBEA, TASHRIFF, BURDAN, TAHMEED na hata SIMBA nayo ni SIMBA MTOTO yaani hutishiki

Sasa njoo mikoa ya watu wa shari... utasikia BUFFALO, NEW FORCE, KIMBINYIKO, MAJINJA, THE NAVIGATOR, KALUBANDIKA..nk

Mnaambukiza tabia mbaya mpaka magari
 
Duh alibakari wee noma.Kwa hiyo unasimama kwenye $$
Nyuma ya wenye mizigo.
 
Duh alibakari wee noma.Kwa hiyo unasimama kwenye $$
Nyuma ya wenye mizigo.
Ndio tena nimemfanyia kama vile jogoo anavyofanyaga[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Daah dude limeamka kwa kusoma haya maneno
 
Jamaa yuko ukweni amekaa sebuleni, mara ikaletwa chai ikafuatia chapati 3, jamaa kazipiga zote katulia, mara anasikia baba mkwe anauliza mbona sioni vitafunwa,sauti ya mama mkwe kutoka nje anasema nimeziweka hapo mezani moja yako, moja ya mkwe wako na nyingine yangu.
Mpaka sasa jamaa ameweka mikao zaidi ya kumi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…