Jackline Aloyce
Senior Member
- Aug 31, 2016
- 111
- 96
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naomba urudi nyumbani kule puliiizi
On my wayNaomba urudi nyumbani kule puliiizi
Dub kipofu ametishaKipofu aliingia mgahawani na kuketi kwenye kiti.Mmiliki wa mgahawa akaja kumuuliza kipofu unataka chakula gani au nikuLetee menu uode?Kipofu akajibu mimi sioni ila niletee kijiko kichafu ninuse halafu nitaoda.Mmiliki akamletea kijiko kichafu.Kipofu akanusa Halafu akasema mmm wali maharage niletee.Kipofu akala.Mara ya pili akaja mgahawani akaomba kijiko kichafu akanusa akasema mmmm Ugali nyama niletee.Mara ya tatu Kipofu akaja tena.Mmiliki akamwambia Mke wake Rose
Leo nataka kumkomesha huyu Kipofu anajifanya anajuwa kunusanusa.Mmiliki akamwambia Rose chukua hichi kijiko kiingize kwenye chupi yako Halafu nipe.Rose a kafanya kama alivyo agizwa.Mmiliki akachukua kijiko akampelekea Kipofu.Kipofu alivyo nusa akanusa Tena
Akamwambia Mmiliki kumbe Rose anafanya kazi hapa!!
Huu ni utani wa ngumi huuKipofu aliingia mgahawani na kuketi kwenye kiti.Mmiliki wa mgahawa akaja kumuuliza kipofu unataka chakula gani au nikuLetee menu uode?Kipofu akajibu mimi sioni ila niletee kijiko kichafu ninuse halafu nitaoda.Mmiliki akamletea kijiko kichafu.Kipofu akanusa Halafu akasema mmm wali maharage niletee.Kipofu akala.Mara ya pili akaja mgahawani akaomba kijiko kichafu akanusa akasema mmmm Ugali nyama niletee.Mara ya tatu Kipofu akaja tena.Mmiliki akamwambia Mke wake Rose
Leo nataka kumkomesha huyu Kipofu anajifanya anajuwa kunusanusa.Mmiliki akamwambia Rose chukua hichi kijiko kiingize kwenye chupi yako Halafu nipe.Rose a kafanya kama alivyo agizwa.Mmiliki akachukua kijiko akampelekea Kipofu.Kipofu alivyo nusa akanusa Tena
Akamwambia Mmiliki kumbe Rose anafanya kazi hapa!!
[emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] nahisi huyo mmiliki alizimia[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Kipofu aliingia mgahawani na kuketi kwenye kiti.Mmiliki wa mgahawa akaja kumuuliza kipofu unataka chakula gani au nikuLetee menu uode?Kipofu akajibu mimi sioni ila niletee kijiko kichafu ninuse halafu nitaoda.Mmiliki akamletea kijiko kichafu.Kipofu akanusa Halafu akasema mmm wali maharage niletee.Kipofu akala.Mara ya pili akaja mgahawani akaomba kijiko kichafu akanusa akasema mmmm Ugali nyama niletee.Mara ya tatu Kipofu akaja tena.Mmiliki akamwambia Mke wake Rose
Leo nataka kumkomesha huyu Kipofu anajifanya anajuwa kunusanusa.Mmiliki akamwambia Rose chukua hichi kijiko kiingize kwenye chupi yako Halafu nipe.Rose a kafanya kama alivyo agizwa.Mmiliki akachukua kijiko akampelekea Kipofu.Kipofu alivyo nusa akanusa Tena
Akamwambia Mmiliki kumbe Rose anafanya kazi hapa!!