Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Eti mwanaume naye unamkuta anaimba ......
NAMPA ×3
NAMPA PAPAAAAAA [emoji445][emoji444][emoji445][emoji444][emoji445][emoji445]

Wanaume tuweni serious jamani [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Bwaaaahahaaahaa
 
MUME ni kama MWIKO wa kupakulia chakula . Mwenzio akitumia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida . Kwa hiyo hakuna mwanaume MALAYA ila wanaume wote ni BABALISHE tu . Kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu ukasema "ooh mume wng Malaya !" Hapana .we muulize kwa upole tu. BABALISHE huo mwiko UMEUSUUZA? Maana na Mimi nataka kuutumia . WATUMIE WANAWAKE WOTE WENYE WIVU KWA WAPENZI WAO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu zangu wanaume tuache kuwaita wake zetu majina cheap mfano honey,sweet,chocolate,sugar...icecream..hivi vitudukani havizidi hata shilingi elfu moja tuwaite majina ghali kama kiroba changu cha mchele,petrol yangu,my university fees,dumu langu la mafuta...tuwape thamani[emoji123][emoji123]
[emoji3][emoji3]
 
Unatafuta kupigwa na mwiko wewe si bure
 
AFRICA KUNA VITUKO HEBU
SOMA HII
Mlevi kakutwa akikojoa eneo la
shule, Mwalimu mkuu akamuuliza,
hilo bango hapo limeandikwaje?
Mlevi akajibu 'USIKOJOE HAPA'.
Mwl: Kwahiyo unafanya nini
hapo?
Mlevi kwa makini na upole
akajibu: HAKI YA MUNGU NILIJUA
NDIO JINA LA SHULE!!
 
*Wahenga nao mda mwingine waongo�*
*Jana niliona msafara wa nyuki nikakumbuka ule msemo wa fata nyuki ule asali*
*KILICHONIKUTA NI SIRI YANGU[emoji37]*
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
 
*Wahenga nao mda mwingine waongo�*
*Jana niliona msafara wa nyuki nikakumbuka ule msemo wa fata nyuki ule asali*
*KILICHONIKUTA NI SIRI YANGU[emoji37]*
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Natamanije nikuone ulivyokula hamira ukawa kama unga ubaosubiri kuokwa
 

Good one for laughter
 
Ndugu zangu wanaume tuache kuwaita wake zetu majina cheap mfano honey,sweet,chocolate,sugar...icecream..hivi vitudukani havizidi hata shilingi elfu moja tuwaite majina ghali kama kiroba changu cha mchele,petrol yangu,my university fees,dumu langu la mafuta...tuwape thamani[emoji123][emoji123][emoji123][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
MUME ni kama MWIKO wa kupakulia chakula . Mwenzio akitumia unaoshwa na wewe unautumia kama kawaida . Kwa hiyo hakuna mwanaume MALAYA ila wanaume wote ni BABALISHE tu . Kwa hiyo wewe usiogope na wala usione wivu ukasema "ooh mume wng Malaya !" Hapana .we muulize kwa upole tu. BABALISHE huo mwiko UMEUSUUZA? Maana na Mimi nataka kuutumia . WATUMIE WANAWAKE WOTE WENYE WIVU KWA WAPENZI WAO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…