*Jana Mtoto wa Dada yangu aliniuliza swali la kizushi, Eti Mjomba ukichanganya OMO na FOMA unaweza kupata povu??*
*Nikamjibu, Lazima upate kwa kuwa zote ni sabuni za unga.*
*Kisha nikamwambia,Siku nyingine usiwe unauliza maswali ya kipumbavu*.[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
*Akaniambia majibu yako ndio yakipumbavu. Utapataje povu bila kuweka na maji?*
*Tangu Jana najiuliza nimekosaje swali kizembe?*
*sasa namtafutia sababu afanye kosa nimtie bakora za maana kwa kunivunjia heshima.*[emoji3][emoji3]