Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

```NIMESHA JUA KUMBE WALIO KUWA WANATUJAZIA TEXT HUMU NI FORM FOUR```

*Mkajaze na booklets sasa*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa........


Kinachowakuta huko aseeeee


Utasikia ngoja ngoja yaumiza matumbo
 
"Inatabiriwa kutakuwa na mvua kubwa siku za karibu,usihangaike ,vuta pesa kutoka Benki ufanye malipo na manunuzi mbalimbali, ukiwa nyumbani kwako" Tigo hao
Sasa kwani mi nimewaambia nataka kununua mvua?? Mfyuu!!
 
Kama kipindi cha utoto hukuwah kuambiwa na wazazi kavae viatu twende

Unaporudi baada ya kumaliza kuvaa unakuta wamekukimbia wewe sio mwafrika[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Kweli bangi hazijawahi kumuacha mtu salama
 
Jana niliingia library ya chuo, ilikuwa kimya sana. Wakati natafuta mahali pa kukaa, nikakutanisha macho na mtoto mmoja hivi shombe shombe mkali balaa. Akatabasamu kisha akainamia kitabu chake, akaendelea kusoma.

Moyoni nikajisemea : " FURSA "
Nikamsogelea, kwa sauti ya chini sana iliyotutosha sisi wawili tu nikamchombeza : " Habari mrembo! Ninaweza kukaa hiki kiti cha jirani yako? "

Akanijibu kwa sauti kubwa mno hakuna ambaye hakuisikia mle ndani : " SIWEZI KULALA NA WEWE, LABDA UNIROGE "

Kila mtu alinigeukia mimi na kunishangaa. Kwa unyonge nikaenda kukaa kwenye nafasi nyingine iliyokuwa wazi. Baada ya dakika mbili yule mrembo akanifuata hadi nilipokuwa nimekaa. Akiniambia kwa sauti hafifu mno : " Ninasoma Psychology, hivyo ninajua unachofikiria. Unajihisi nimekuaibisha sana..sio? "

Nikaropoka kwa sauti kubwa : " LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU! AH...WAPI! LABDA UNIROGE ". Kila mtu alicheka kwa sauti mle library.

Halafu nikamwambia kwa sauti ya chini mno : " ninasoma sheria, ninajua kumfanya mtu ajione mwenye hatia "

[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Do me, I do you. Nimecheka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…