Mpira huangaliiMwanaume:
haubeti
hauzini
bangi huvuti
sigara huvuti
pombe hunywi
ukipishana na mwanamke mwenye tako kubwa hugeuki
ndugu yangu wewe ni
"MWANAUME HEWA"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Rafik angu kachora tatoo ya jina la dem wake juzi... leo kaskia dem wake anaolewa nipo nae apa tunasubiri pasi ipate moto...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi utaondoka na stress..!
Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zot
Daaaaah...
Dah huyu mhudumu kibokoMhudumu analeta supu huku kidole gumba kimo ndani ya bakuli.
MTEJA:- "Mbona unaweka dole lako ndani ya supu yangu?
MHUDUMU:- "Dokta kaniambia kidonda kiwe na joto saa zote ndo kitapona".
MTEJA(kwa hasira) -: "si uwe unakichomeka matakoni kwako?"
MHUDUMU:-"Ndio huwa naweka nikiwa jikoni"
MTEJA:-"ah kum***e!! kunywa mwenyewe ms***e nin?.
MHUDUMU:-"Matusi yanatoka wap jaman?kunywa bwana mbona hata jana ulikunywa tu na hujafa"
Teh teh kazi ipoUKISIKIA FREQUENCY ZIMEINGILIANA
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
MGONJWA: doctor nina tatzo la kuumwa tumbo ninapomaliza kula
DOCTOR: huwa unakula matunda?
MGONJWA: ndio nakula
DOCTOR: sasa jitahidi ule na maganda yake ila hakikisha umeyaosha vzur
mgonjwa kimya[emoji50] [emoji50]
DOCTOR: vipi mbona hujibu?
MGONJWA: nafikiria kuhusu kula hayo maganda
DOCTOR: kwani unakula matunda gani?
MGONJWA: madafu na madoriani
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha