Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijawahi kucheka hivi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama Baba yangu hana furaha mim kuishi katika nyumba yake

Basi ondoke anipshe akaishi kwa baba yake
mimi naishi kwenye nyumba ya baba yangu maamaee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kali hii,Kula like
 
Dingi karudi home kakuta wife na mtoto wake wakiangalia mtihani ukionyesha alama 25 dingi bila kupapasa macho kamlamba dogo kofi akaangukia penye kochi hajaamka dingi kampelekea teke huku akisema enzi zangu mimi nilikuwa sipati alama za chini hivi mara kamnyanyua dogo akampa kichwa dogo chali. Bimkubwa akaparama "baba Fred utaniulia mtoto bure hii ni mitahani yako tumeitoa stoo.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni ngumu ni kavu inapoingia ni tamu sana ikiwa ndani haswaaa inapozungushwa na kupelekwa kila kona!!
Ikitoka huwa imelowa tena imelegea na kuisha ugumu kabisa[emoji12]
Hayo ndiyo maajabu ya BIGIJII[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukome kuwaza ujinga sheeenz
 
Hivi ni nani alileta Make Up?

Maana ndiyo aliyeleta mademu matapeli huku nchini

Unakuta Msichana kapost picha anafanana na RIHANNA ila ukikutana naye live anafanana na DROGBA
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…