Ni wachochezi?Dakika 10 zilizopita nimepiga simu polisi nikawaambia kuna watu 130 ambao siwafahamu wananifuata...
Polisi akaniambia uko wapi tutume msaada
Nikawajibu ni huku instagram
Mh Huyu Freyzem Kiboko Big up..Yani nimesoma hiyo ya kwanza tu sina mbavu uwiiiiii ngoja niende ya pili
Na wamchukue tu wakamuoneshe majumba ya lang'ata huenda akayapenda akanunua.Jamani mkulu si alisema akihamia Dom jumba jeupe atalipiga mnada?Mnunuzi kishapatikana tunachelewa nini tumuoneshe aanze kuhamia taratibu taratibu akianza na sandalsAaah hii sasa haiwezekani wakenya wanatutafuta ubaya eti wanasambaza khabari Dr luis shika ni wa kwao.
Siku zote ukweli unaumaPilli alikuwa anamnyonyesha mwanaye. Rafiki ake Kipenzi (Halima) alikuwa amekaa pembeni anaangalia mtoto anavyonyonya.....
Halima akasema,
"kananyonya kama babake"
...Sasa hivi tunajaza PF3 hapa kituo cha Polisi, Kuelekea Hospitali..
πππππ
Hivi ikitokea ndani ya week 6 umejichanganya kusema bila baba mkwe na yeye akakosa kuonekana mahabusu kujileta mbele ndio mvua ilipoanza kunyeshaMh Huyu Freyzem Kiboko Big up..