huyu ndo yule muhuni aliyekufa na maviagra juzijuzi hapa au mimi ndo sijaelewa[emoji115] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Haha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uchochezi kama huu lazima nifukue makaburi yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sidhani kama umeelewaSiku zote ukweli unauma
Nadhani nimeelewa, kwamba shemeji yake ameshawahi mnyonya kwahiyo anamjua anavyonyonya. Kama nimeelewa sivyo, nieleweshe!Sidhani kama umeelewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] du hatariNimefika muhimbili nikakuta watu kibao kwenye foleni.....nikapokea simu nikaongea kwa sauti kubwa "Ndio mweshimiwa Rais ndio tumefika hapa bado atujapata huduma tumekaa kwenye mabenchi"" manesi waliposikia wamenikimbilia kama sita sasa hivi ndio namalizia vipimo...mmoja akaniuliza mh. Rais ni nani yako nikamjibu "Rais wa kamisheni ya ngumi Tanzania Emmanuel Mlundwa ni shemeji yangu amemuoa dada yangu....sasa hivi wote wameninunia
*Kuna picha zimesambazwa mitandaoni zikinionyesha napokea milioni 100 kama mshindi wa BIKO..Taarifa hizo si za kweli naomba mzipuuze...*Nzuri, asante
Teh teh*Kuna picha zimesambazwa mitandaoni zikinionyesha napokea milioni 100 kama mshindi wa BIKO..Taarifa hizo si za kweli naomba mzipuuze...*
*Mnaonidai endeleeni kunivumilia*