Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

hahahah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pumbafu kabisaa yani hawa watu hawanijui hawa. Ntawapiga risasi wote.
 
Jana wakati nasafiri nimefika sehemu nikanunua chocolate wakati nakula mzee aliyekaa jirani yangu akaniambia kijana chocolate zinaharibu meno. Nikamwambia Babu yangu alikufa ana miaka 108.
Akauliza alikuwa anakula chocolate nikamjibu alikuwa hafatilii maisha ya watu. Sasa naona mzee amehama siti nadhani anataka shuka!.
 
We c uanzie hapo kwa kochi kwan lazma ktndan
 
NIMEAMKA zangu asubuhi nikaanza kukimbia kwa ajili ya mazoezi ghafla nikakumbuka MATHAYO 2:4 WAOVU WATAKIMBIA WAO WENYEWE BILA KUKIMBIZWA ikabidi niache nirudi kuangalia movie sipendi kubishia maandiko matakatifu[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dadek
 
[emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Za saa hizi!
Nimesikia jamiiforums wamebadilisha muonekano wake na ili tufaidi lazima tupakue app!sasa hapo kwenye kupakua app nimeachwa njiapanda...naombeni msaada nafanyeje kwa simu yangu?
.
sifa za simu yangu
Aina:TECNO T 453
Bei;35k
inaweka line 3
 
Yan vidada vya sikuizi kwa kudeka!! Naimagine ingekua ndo Musa aliambiwa avuke bahari ya sham na vidada vya type hii lazma tu vingemchelewesha
Vikianza kupiga Selfie zao utasikia "chilling with Musa" "in the middle of the sea* [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…