Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIO au HAPANA wakati mwingine inatumiwa KWELI au SI KWELI hivo naomba kujibu maswali hayoNani kasema kiswahili ni rahisi??? Hebu jaza nafasi zilizoachwa wazi kwa kutumia NDIO au HAPANA;
1)……………, mimi ni chizi
2)……………, mimi ni bwege
3)……………, mimi sina akili
Huu uzi unamfaa sana Salary Slip na genge lke we kuoa stress humu za kupigwa chini na waTz waliokataa kuandamana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu… Dakika mbili nyingi Mchaga akakimbia na kapu la sadaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan na wewe unadakwa fasta usifike chiniMVUA HIZ NA TOPE WAWEZAJIKUTA UNATELEZA UNADONDOKEA KWENYE MAHUSIANO YA WATU[emoji16][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] bibi hapendi ujinga.Basi utaondoka na stress..!
Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Future [emoji289]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] aseee!!Hujapotea kwani wewe huna stress..?
------------------------------
nimemtembelea,rafiki yangu mida ya saa saba hivi na tayari alikuwa amesonga ugali nikamtuma nje wakati anatoka nje nikaongeza maji kwenye sufuria kumbe sikujuwa alipima maji kulingana na unga uliobaki sasa hivi tunakunywa uji hatuongeleshani .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kumbe_wote_hatupendangi_ujinga!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] dah.!Tezi dume[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]