Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Huku mtaani kwetu kuna mwanamke amemwekea mme wake dawa ili ampende. bahati mbaya panya wakala chakula chote.

savi panya wanamfuata mwanamke kila aendako huku wakitabasamu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimegundua "Wanawake ndio binadamu pekee wanaofatilwa na watu wengi wasiojulikana, lakini hawaripoti polisi" [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Mwanamke hachapwi kwa fimbo bali kwa khanga hata kama ukiamua umchape kwa fimbo basi kuna fimbo yake maalum ya kumchapia [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Shikamoo mkuu
 
"SIWEZI KUWA NA MWANAUME AMBAYE HANA GARI"
Maneno haya yanasemwa na Msichana ambaye anaogea Sabuni mpaka inakuwa kama ATM CARD
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji249][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kumbe Wahehe nao jana walikuwa wanasubiri watangaziwe Iringa kuwa jiji![emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji249][emoji125][emoji125]
 
Hivi hot pot, air pot, hotspot, paspot wanatoka ukoo mmoja? au akili zangu hazipo sawa,
Hao tena ni ndugu wa damu kabisa na kina usb port, comm port, ethernet port, babu yao Tanzania ports authority[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji249][emoji125][emoji125]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hao tena ni ndugu wa damu kabisa na kina usb port, comm port, ethernet port, babu yao Tanzania ports authority[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji249][emoji125][emoji125]
Leo umevuta cha wapi
 
[emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao tena ni ndugu wa damu kabisa na kina usb port, comm port, ethernet port, babu yao Tanzania ports authority[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji249][emoji125][emoji125]
Hata Jackpot ni binamu yao.
 
Tanesco, mi nina shida moja kwenu, visosi vyangu seti nzima nyumbani vimevunjika, kila nikipita karibu na nguzo za umeme nakuta visosi vile mmepitisha nyaya. Mi naomba kama mnaviuza mnijuze mi nina shida navyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…