Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
MmmmhhhTanesco, mi nina shida moja kwenu, visosi vyangu seti nzima nyumbani vimevunjika, kila nikipita karibu na nguzo za umeme nakuta visosi vile mmepitisha nyaya. Mi naomba kama mnaviuza mnijuze mi nina shida navyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Hata Jackpot ni binamu yao.
Kwani wao hawaogopi vyuma vya jiwe?Usawa wenyewe wa mbuzi,mbele kamba nyuma bakora ukileta shobo unalika tu hata kwa chumvi dadeki!Nimeamini kweli tunaisoma namba [emoji13] [emoji13] yaani mvua zote hizi hata wale Kumbi kumbi wamegoma kutoka [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
mhWanawake Ushaingia Kwenye Saloon Kusuka,Wanawake Umbea ukanoga Ndani ikafika hatua umemalizwa Kusukwa Ukaogopa Kutika Maana Wanaweza Kuanza Kukuzungumzia Ww?
UnlikeJe una kitambi mbinuko?
Je una minyama uzembe ?
Je una weusi katikati ya mapja na ungependa kuuondoa kwa kutumia njia ya asili?
Je una magaga (magwambala )ambayo imekuwa iero kwako?
Je una ngozi yenye mafuta mengi?
Je una nywele kipilipili sugu?
Je una meno ya njano ambayo hayakubali aina yoyoteya dawa ya meno hata Mkaa ?
Je una michirizi ya unene?
Basi pole ndugu yangu maana mungu ndio kakuumba hivyo hamna namna.
Duh kweli ni watu wa kusiniHii nilikuwa siijui