Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mpiga Picha; Mwalimu Mkuu Nitakuchaji Kila Mwanafunzi Sh. 500 Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mwalimu Mkuu: Mwalimu Waambie Wanafunzi Walete Sh, 1000 Kila Mmoja Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mwalimu: Wanafunzi Mnatakiwa Mlete Sh 2000 Kila Mmoja Kwa Ajili Ya Paspot Size.

Kila Mwanafunzi Nyumbani Kwao: Mama Tumeambiwa Tupeleke Sh 2500 Shuleni Kwa Ajili Ya Pasport Size.

Mama: Mme Wangu Mtoto Anataka Sh 3000 Kwa Ajili Ya Zile Picha Za Pasport Size Shuleni.

Unadhani Kwa Style Hiyo Ufisadi Utaisha??
 
Him: ata utoboe masikio yote mapua midomo nitaangalia matako tu

Her: ata uweke haircut zote,upigwe cut zile mbili kwa eyebrows,uvae adidas pants na belenciaga fake nitaangalia wallet tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Safi sana
 
Jibu linaluja Kuwa ni wa mkewamgu
 
*Wanasayansi wamebaini mwanaume anapopishana na mwanamke kisha akageuka kuangalia maumbile ya mwanamke huyo kea nyuma[emoji39]anapata faida za kiafya hasa kuimarisha mishipa ya macho, kusisimua Uoni, kupunguza msongo wa mawazo kwa kumuhamisha kutoka alichokuwa anawaza, kupunguza kasi ya mapigo ya moyo, kutamani kufanya tendo la ndoa, na kuongeza hamu ya Kula. Hii inamfanya mwanaume kuwa mchangamfu na mwenye afya imara[emoji23][emoji39].. Hakikisha unageuka kila upishanapo na Mwanamke anayekuvutia. afya ni muhimu[emoji23][emoji23]*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…