Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji97]
 
[emoji23]
 
Nimecheka sana mkuu
 
Ha ha ha haaaaaa
 
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaa
 
Ukiona mwanaume anapenda kuoga na mkewe usifikiri anampenda
hataki kumwachia nafasi ya kupekua sim yake



[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku nilichelewa kurudi nyumbani!dingi akanikata stick nyingi sana akaniambia hakuna kula mchana!mtembezi hula miguu yake,afu mama ndio alikua anaepua maharage jikono na kitu cha wali kilikua tayari chini kinanukia hatari!!haya bna nikaenda kulala kwa huzuni kubwaaa sana huku tumbo likinguruma kwa njaa!!watu wakala wakamaliza mk nikajipitisha ili hata mzee anionee huruma nile lakini wap!!Nikashangaa mama ananiita kwa Hasira,We kuja hapa Pumbavu wewe Chukua hyo ndoo hapo uende ukachote maji!!nikazidi kuumia kuona mama nae ananipa kazi na njaa yote ile!!basi nikasepa kinyonge nikiwa njiani nikahisi kwenye ndoo kuna kitu kufungua hivi nakutana na bakuli kubwa limejaa Waliiiiii [emoji23][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23] kwanza nililia kidogo kwa furaha then nikaula fasta[emoji23][emoji23] HAPPY WOMEN'S DAY
 
Basi hapa mtaani c kuna msiba, mtoto alikuwa anapita na babu yake karibia na mcba, akaona watu wanalia, akamuuliza babu na hawa wote hawana vyeti mbona wanalia???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hivi ni njia gani yakufanya ili mtu awe anaona huu uzi kila saa maana unapoteaga
Nenda juu kulia kwenye tiki bofya, itarespond yu hev sabskraib tu zis posti[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
*Mwanaume wa Arusha kakaa mahabusu miezi minne anatoka huku anacheka, mwanaume wa Dar kaambiwa aonyeshe vyeti tu analia. [Wanaume wa Dar Bwana].*


[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
JE UNAJUA????
Siku ya mwanamke duniani originally ilipangwa isherekewe tar 5 MARCH.....
[emoji117]Ila kutokana na kujianda kwingi, kujipodoa na kujiangalia saana wakajikuta wanachelewa hadi wakasherekea tar 8 March......

JE WAJUA?

Hata siku ya mwanaume duniani ilipangwa......
[emoji117]Ila kama kawaida yetu wazee wa kupotezea vitu vya kijinga tumeshasahau ni tar Ngapi.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Support them...
Twawapenda wamama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…