Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USubscribe kwa hapo juu aiseeHivi ni njia gani yakufanya ili mtu awe anaona huu uzi kila saa maana unapoteaga
Hapo hapo mkuuwenye vi-tecno vyetu sasa....kusubscribe kwa juu ndo wapi?pale kwenye exit?
Hapo ni nyama kwa nyamaHahaha, huu mwezi wa valentine una maneno..!
Girl: My love namis kula kuku
Boy: Kwani wewe ni mwewe?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hatari sana hapo nikuminya batani ya ukimya tu kiroho safi...Unaamua kwenda ukweni kuwasalimia inafika usiku wanakupa chumba cha kulala unabanwa haja ndogo usiku unaamua kuamka kwenda chooni bahati mbaya unaingia jikoni kwa kuwa taa imezimwa unaparamia viombo vinaanguka ile hujui nini cha kufanya mara taa inawashwa kungalia mi mama mkwe anakwambia kama hukushiba siungesema tu baba......!
Hapo ndio utajua ukweni si kwenu
Meaning?????Welldone bother,
We kicha kwelikweliNimenunua popcorns nile nikicheki movie ka watoto wakishua wanavyofanyaga.Sasa hata introduction ya movie haijaisha nishafyeka kila kitu!Ningenunua tu miwa.
[emoji276][emoji276][emoji276]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]