Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Short ladies have disadvantages though,[emoji848][emoji848] unalala na dem mfupi usiku unaota ukifungua thermos, unakanyonga kanakufa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji23]
Wewe Khantwe naamini siyo mfupi [emoji16][emoji16][emoji16]
Ni kweli sio mfupi, lakini si mrefu pia[emoji23][emoji23]Wewe Khantwe naamini siyo mfupi [emoji16][emoji16][emoji16]
Hicho ndicho kimo cha kawaida kwa wengi wetu. Tumshukuru Mungu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Hicho ndicho kimo cha kawaida kwa wengi wetu. Tumshukuru Mungu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
[emoji38][emoji38] tutake radhi mkuuHakuna watu wanao tunza SIRI Duniani kama watu wanao pigwa[emoji848][emoji848] Na Wakezao. Sjuwi Huwa Wana vifaa Gan Wanavyo Tunzia SIRi Hawa watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeamua kutuumbua kabisa, Ila uzuri tuko wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
The uglier the teacher the tougher the subject [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kusaga mahindi/nafaka na si unga!Hakuna kitu kinaumiza roho kama kutumwa kusaga unga sikukuu, tena unaambiwa upitie na maharage
Nimeona nikafikiria walimu wa hesabu. Pengine sababu ya unoko wao tulikuwa tunawaona wabaya tu hata kama hawakuwa hivyo. Hovyo sana wale jamaa ...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai
Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]