Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Absolutely indeed [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona nikafikiria walimu wa hesabu. Pengine sababu ya unoko wao tulikuwa tunawaona wabaya tu hata kama hawakuwa hivyo. Hovyo sana wale jamaa ...

Kwema lakini ndugu yangu? Mwaka mpya unaendeleaje? Tumshukuru Mungu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…