Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Utataman urudi kumpa naul yake
IMG-20190114-WA0026.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Absolutely indeed [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona nikafikiria walimu wa hesabu. Pengine sababu ya unoko wao tulikuwa tunawaona wabaya tu hata kama hawakuwa hivyo. Hovyo sana wale jamaa ...

Kwema lakini ndugu yangu? Mwaka mpya unaendeleaje? Tumshukuru Mungu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai

Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom