Akili zako unazijua mwenyewe!A mother used to cook her kids chicken everyday, but the kids got fed up.
Gal: Nitaambia mum aache kupika kuku.
Boy: kwa nini?
Gal: Nimeanza kumea manyoya huko chini.
Boy: Nilidhani ni mimi tuu!
Gal: ata wewe? Ona zangu venye ni mob. Ebu nione zako.
Boy: taking short down. Ona kazi ya mum na kuku zake daily.
Gal: Ghai! Yako imezidi, si manyoya pekee,unamea shingo ya kuku pia.
Boy: hata si shingo pekee, shika usikie mayai mbili hapa chini ya shingo.......
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji2] [emoji2]Akili zako unazijua mwenyewe!
hahaha teh teh tehKuna kale kawivu watz tunako umeme ukikatika kwako lazma utoke nje kuangalia kama kwa jirani upo......hivi ni kwanini lakini? 🙄😱😡
hahahahahahahahaJana nilipitia pale Polisi Sentro nikaona yale magari yao rangi ya blue mawili yameandika 4WD mi nikaisolve
4WD x 4WD = 16 + W² + D²
Hapa nipo kwenye Defender sijui ndio napelekwa Mlimani-Chuo kikuu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hesabu ndogo tu imewashinda[emoji34] siku zote
Hivi wanabadirisha vp maandishi jamanikwa kifupi unataka tujue kuwa na wewe unaweza badili rangi za maandishi,huna lolote
nimecheka mpaka machozi yametoka.[emoji23]Bangi acha ipigwe marufuku...!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa walikuwa wamekaa jumba bovu wanavuta bangi wakaishiwa kiberiti,
Si ndipo wakamtuma
mwenzao akaombe popote. Jamaa akazungukaaaaa weee..!!
Akatokea pale pale walipo wenzie..
akawambia, "...masela naombeni kiberiti". Kwa kuwa jamaa nao walikuwa wamekolea kisawasawa wakamjibu,,
"...Tumemtuma mshikaji, kaa hapa tumsubiri". Jamaa nae Si akakaa kusubiri kiberiti...!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Walisubiri, Wakasubiri, Wakasubiri... na
Wakasubiriiiii weee..!!! mpaka Saivi nimewaaacha wanasubiri tu..!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
watu wa jf mtakuja kutuua kwa vicheko, nimeondoa sumu, na kinyongo cha makomeo kwa huu Uzi. maana nilitaka kuhama nchi lkn nabaki furaha imekuja upya japi baba jescca hatabiriki kesho anaweza kunitibua nyogo tenaHuu Ufala wa Madem Huwa Mnavaa Earings Kwa Mapua, Ulimi, Masikio sijui kwa Uso...Maneckless ka mia Mbili...!!!
Mwingine ameanguka jana Town ametoa sauti Ka sufuria[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupwangalangichikong'oung'enkikounkong'ouu!
HahahahahaMtoto wa jirani yangu amenizoea sana.... hadi nikimtuma mkate anaula wote... jana nimemtuma soda kainywa yote....
Sasa leo nimemtuma kununua sumu ya panya.... sasa hivi mama ake anasema mtoto tangu alale hajaamka na si kawaida yake kulala. Mi nadhani atakua amechoka tu maana hata sumu hajaleta bado......[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]Nimetoka kununua maembe sokoni kwa kuwa nlikuwa sina chombo cha kubebea muuzaji kaniwekea kwenye box, ndipo safari ikaanza. Nilipopita karibu na kituo cha Police ghafla nikasimamishwa tena kwa sauti kubwa "wewe simamaaaaa pumbavu" nikatii sheria ile naulizwa umebeba nn, kabla sijajibu nikapewa kofi moja takatifu, ndo nikaambiwa haya jibu sasa nikawaambia maembe nikapulizwa kofi tena. Baada ya wale Police kulifungua lile box wakakuta kweli ni maembe, kumbe yule muuzaji aliniwekea maembe kwenye box lililoandikwa "KIROBA ORIGINAL". [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndugu zangu saivi mwe makini na mabox mnayobebea mizigo yenu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]A mother used to cook her kids chicken everyday, but the kids got fed up.
Gal: Nitaambia mum aache kupika kuku.
Boy: kwa nini?
Gal: Nimeanza kumea manyoya huko chini.
Boy: Nilidhani ni mimi tuu!
Gal: ata wewe? Ona zangu venye ni mob. Ebu nione zako.
Boy: taking short down. Ona kazi ya mum na kuku zake daily.
Gal: Ghai! Yako imezidi, si manyoya pekee,unamea shingo ya kuku pia.
Boy: hata si shingo pekee, shika usikie mayai mbili hapa chini ya shingo.......
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Bib yangu kachukua sahan ya wali wangu niliouchanganya na unga akala sasa ivi yuko anajpga selfie kwa kutumia remote ya Dstv wazaz wanafikilia ni uzee sa sijui niwaambie ukweli??*
hahahaha vyeti!!!!!