Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Akili zako unazijua mwenyewe!
 
Mtoto wa jirani yangu amenizoea sana.... hadi nikimtuma mkate anaula wote... jana nimemtuma soda kainywa yote....
Sasa leo nimemtuma kununua sumu ya panya.... sasa hivi mama ake anasema mtoto tangu alale hajaamka na si kawaida yake kulala. Mi nadhani atakua amechoka tu maana hata sumu hajaleta bado......[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Jana nilipitia pale Polisi Sentro nikaona yale magari yao rangi ya blue mawili yameandika 4WD mi nikaisolve
4WD x 4WD = 16 + W² + D²
Hapa nipo kwenye Defender sijui ndio napelekwa Mlimani-Chuo kikuu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hesabu ndogo tu imewashinda[emoji34] siku zote
 
hahahahahahahaha
 
nimecheka mpaka machozi yametoka.[emoji23]
 
watu wa jf mtakuja kutuua kwa vicheko, nimeondoa sumu, na kinyongo cha makomeo kwa huu Uzi. maana nilitaka kuhama nchi lkn nabaki furaha imekuja upya japi baba jescca hatabiriki kesho anaweza kunitibua nyogo tena
 
Nimetoka kununua maembe sokoni kwa kuwa nlikuwa sina chombo cha kubebea muuzaji kaniwekea kwenye box, ndipo safari ikaanza. Nilipopita karibu na kituo cha Police ghafla nikasimamishwa tena kwa sauti kubwa "wewe simamaaaaa pumbavu" nikatii sheria ile naulizwa umebeba nn, kabla sijajibu nikapewa kofi moja takatifu, ndo nikaambiwa haya jibu sasa nikawaambia maembe nikapulizwa kofi tena. Baada ya wale Police kulifungua lile box wakakuta kweli ni maembe, kumbe yule muuzaji aliniwekea maembe kwenye box lililoandikwa "KIROBA ORIGINAL". [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndugu zangu saivi mwe makini na mabox mnayobebea mizigo yenu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahahaha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
*Bib yangu kachukua sahan ya wali wangu niliouchanganya na unga akala sasa ivi yuko anajpga selfie kwa kutumia remote ya Dstv wazaz wanafikilia ni uzee sa sijui niwaambie ukweli??*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamaa aliingia msikitini akiwa kashika panga huku jasho likimtoka,akasema"nani muislamu humu?"wote wakauchuna.Akarudia tena"nauliza nani muislamu humu hamnisikii?"wote kimya.Akamgeukia Imamu"wewe sio muislamu?"...Imamu:aaaaah jamani kukaa mbele tu hapa ndo nimeshakuwa muislamu?"...Akamshika mkono muumini mmoja aliyekuwa karibu na mlango akamtoa nje,akamwambia "naomba ukanichinjie mbuzi nyumbani nina wageni leo waislamu"....jamaa akaenda akamchinjia halaf akamwambia"ila utaalamu wa kuchuna ngozi sina labda ukamchukue mwenzangu"....jamaa ikabidi arudi msikitini huku panga linavuja damu....Imamu kuona vile akasema"tumsifu Yesu kristo"...waumini wakaitikia"milele amina!!"
 
Hey ,I'm urgently looking for an individual aged 20-30.He/she should be either a diploma or Degree holder in any course and should be able to fluently speak English or Kiswahili
Tribe doesn't matter.


Akuje nimtume Chumvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…