Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Wadada mjifunze kutoka NIDA msitoe namba kirahisi rahisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajichangaye Amwite Pendo alafu muuni achukue team ya WWE waende kuvamia
😁😁😁Manineer..[emoji23][emoji23] Ajichangaye Amwite Pendo alafu muuni achukue team ya WWE waende kuvamia
[emoji16][emoji16][emoji16]
kwamba jamaa kamtegea ka ulingo sio....
naanzaje kwenda.... mwiz kupewa ruhusa ya kuiba ushaona wapNdo ivyo yan
kwa mfano ungekua ndo wewe ungekubali kwenda?
HhhhhKuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
HhhhhhUmeshawahi kwenda kwenye harusi halafu Dj akawa anaplay
mziki,wakati huo mziki uko sauti ya juu sana halafu unaongea na rafki
yako kwa sautiii ili akusikie, mara Dj
anazima gafla mziki huku
unapayuka halafu inakukuta
unapayuka "Bibi arusi mbayaa"
halafu umekaa nyuma ya meza ya
wazazi wake...
[emoji1][emoji1]
Hapo ndio utajuakuwa kiwembe na kisu vinakata lakini havina diwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]