Said Mshana
Senior Member
- Jul 10, 2016
- 103
- 148
Mara paaaap umerudi afu bado upo toilet [emoji1787][emoji1787]Tanesco wajinga kweli, wamekata umeme!! [emoji44][emoji44]hapa nimetoka nje uchi nimekwenda toilet hakuna aliyeniona!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji23][emoji23][emoji23]The Doctor told me that I have one month to live.. I killed him. The Judge gave me 25 yrs in jail[emoji120][emoji120][emoji120][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
Stress ni kuwa mtanzania chini ya utawala wa magufuli huku ukihubiriwa kuwa kumsifia na kuunga mkono juhudi zake ndo uzalendo. Na kila magu akitoa kichekesho chake cha kulazimisha inakubidi ucheke kwa bidii sanaWengine kingereza hatujui stress ni nini?
hahaha haiwezekani nitoe damu bureLeo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
hiki ni kichekesho changu bora cha uzi huu.....Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)
Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka
Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?
Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
πYAAN WADADA WA SIKU HIZI BHANA, UNAKUTA YUKO BAFUNI ANAOGA ALAFU NYWELE KAZIACHA CHUMBANI..[emoji23][emoji23]
Daaaah iko qali knoma ππHii hapa.....
Hakuna kitu kinachouma kama upate ajali halafu ufe peke yako inauma sana unaweza kujinyonga ...hahaha...
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila wauza chipsi wa Buza mnashangaza sana! Nimeagiza chipsi na kuku mzima, mnaniletea kuku ana paja moja!! Nawauliza mnanijibu kuku alikuwa kilema, kweli?? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji3]The Doctor told me that I have one month to live.. I killed him. The Judge gave me 25 yrs in jail[emoji120][emoji120][emoji120][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wauza chipsi wa Buza mnashangaza sana! Nimeagiza chipsi na kuku mzima, mnaniletea kuku ana paja moja!! Nawauliza mnanijibu kuku alikuwa kilema, kweli?? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]