Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mara paaaap umerudi afu bado upo toilet [emoji1787][emoji1787]
 
hahaha haiwezekani nitoe damu bure
 
hiki ni kichekesho changu bora cha uzi huu
 
Nyie wadada mnaopenda tuwanyonye masikio yenu yafanyieni usafi basi!! Jana nilipata mmoja mpaka sahivi ulimi mchungu !![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Kuishi jirani na Muhindi ni kuitesa pua yako, unaweza kunusa harufu ukahisi ni misosi na mapochopocho yanaandaliwa kumbe mwenzako anakaanga pili pili! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Ila wauza chipsi wa Buza mnashangaza sana! Nimeagiza chipsi na kuku mzima, mnaniletea kuku ana paja moja!! Nawauliza mnanijibu kuku alikuwa kilema, kweli?? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke kiuno chake kikiwa hakina shanga ama cheni mimi siwezi kukishika, maana nahisi kama nimeshika chupa ya chai [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…