Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Tanesco wajinga kweli, wamekata umeme!! [emoji44][emoji44]hapa nimetoka nje uchi nimekwenda toilet hakuna aliyeniona!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Mara paaaap umerudi afu bado upo toilet [emoji1787][emoji1787]
 
Mara paaaap umerudi afu bado upo toilet [emoji1787][emoji1787]
IMG_20200912_131321.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi
hahaha haiwezekani nitoe damu bure
 
.....Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)

Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka

Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?

Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hiki ni kichekesho changu bora cha uzi huu
 
Nyie wadada mnaopenda tuwanyonye masikio yenu yafanyieni usafi basi!! Jana nilipata mmoja mpaka sahivi ulimi mchungu !![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Kuishi jirani na Muhindi ni kuitesa pua yako, unaweza kunusa harufu ukahisi ni misosi na mapochopocho yanaandaliwa kumbe mwenzako anakaanga pili pili! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Ila wauza chipsi wa Buza mnashangaza sana! Nimeagiza chipsi na kuku mzima, mnaniletea kuku ana paja moja!! Nawauliza mnanijibu kuku alikuwa kilema, kweli?? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Ila wauza chipsi wa Buza mnashangaza sana! Nimeagiza chipsi na kuku mzima, mnaniletea kuku ana paja moja!! Nawauliza mnanijibu kuku alikuwa kilema, kweli?? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke kiuno chake kikiwa hakina shanga ama cheni mimi siwezi kukishika, maana nahisi kama nimeshika chupa ya chai [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Ila wauza chipsi wa Buza mnashangaza sana! Nimeagiza chipsi na kuku mzima, mnaniletea kuku ana paja moja!! Nawauliza mnanijibu kuku alikuwa kilema, kweli?? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom