Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€πŸ‘€
 
Chriss + pin ([emoji419]) = Chrispin
Chriss +Tina = Christina
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Siku moja mama mwenye nyumba aliuliza ,ninani anaye maliza tooth pick?
Mfanyakazi akajibu labda wanao maana mimi nikitumia naludishia "unadhani nini kilitokea"?
 
Ombi langu kwa Serikali:
Gari za Polisi kule nyuma walau mtuwekee mziki maana huwa tunakaa kinyonge sana, nyie hamjui tu!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
hahahaaa you made my day bruh
 
Lahaula lakwata,
ndio imetiki sasa,
mko kwenye point of no return (ushachukua room, unamsalula Diwali) , unagundua ni Mama Mzaa Mkeo, unafanyaje Muzee?
Duh! mamawakwe wa siku hizi bado wanaonekana vijana rabsha hiyo jasho lazima likutoke. Usiombe yakukute
 
Lahaula lakwata,
ndio imetiki sasa,
mko kwenye point of no return (ushachukua room, unamsalula Diwali) , unagundua ni Mama Mzaa Mkeo, unafanyaje Muzee?
na mm navaa barakoa mpaka machoni asigundue kuwa nimemjua maana kanitegea
au nazima taa naanza hivyo hivyo km kichaa mpaka atapenda
lkn kumuacha ni kujitakia mapresha na kuona wanawake wote wabaya wanabania
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…