Kuwa makini huyo mwanamke anaweza hata kuku ua huko mbeleniStory yako aiseee, Kwanza natafakari jinsi ambavyo ulivyokuwa na kifua Cha kuimili yote hayo, Mimi ndoa ingekufa siku ambayo ningefahamu yote hayo!!! Pole Sana ndgu jitahidi kufanya fanya na Ibada na Maombi MUNGU asimame Kati yenu
π€£π€£π€£π€£π€£Vichaa walipanga kutoroka,
wakakubaliana wamnyonge mlinzi
watoroke! Walipofika getini wakakuta
geti lipo wazi na hakuna mlinzi,
wakasema "Turudi mipango yote
imevurugika...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]underperfomMY WIFE DID SOMETHING TO MY MANHOOD AND NOW I CAN NOT IMPRESS MY GIRLFRIENDS
Hi, I have a big problem that is giving me sleepless nights lately. I married my wife in 2015. Like any other man, I decided to get a side chick after 2 years in marriage because it's not easy sometimes for we guys to stay with one woman.
Fast forward, 2 months ago I noticed that it was impossible for me to perform as a man whenever I tried to cheat. I could find all sort of excuses to my side chicks. I decided to switch women and it was the same problem.
I talked to a witchdoctor who asked me if I could perform well when am with my wife at home and I said yes. That's when it clicked to me that there was a bigger problem. I have come to realised that my wife could be behind this evil heartless experience.
My friend took me to a traditional healer deep in Dedza who told me it's my wife doing this to me. And that it's only her to set me free. The problem is I don't know how to even start discussing this with her. I need my freedom back as a Man. My side chicks are complaining!
Please how do I ask her [emoji134]
[emoji1][emoji1][emoji1] Hatari kwakweliMUGABE NAE KWA MAJIBU ANATISHA
SWALI:Kwanini wanasiasa wala rushwa hawaendi jela ?
MUGABE! Hii ni sawa na mbu anayeng'ata kwenye pumbu hawezi kupigwa kofi zito.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mama mja mzito aliketi vibaya mbele ya mtoto.. mtoto akamwambia naona raundi hii utazaa mvulana.. Mama akamuuliza umejuaje.. mtoto akajibu nimeona ndevu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16]Mkurya kapewa uji wa moto nyumbani kwake, kaunywa kwa haraka ili awahi kazini kaungua mdomo. Kufika kazini akaulizwa, "imekuwaje ukaungua mdomo?"
Akajibu "mama Bhoke kanipa uchi wa moto"[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio mimi, tatizo lafudhi
Umetishaaaaaa kinoma nomaπ π π ila hapana asee unatakiwa ukapime akiliiπΆπΏπΆπΏπΆπΏLeo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
hahahah aty titi ni ziwa alo nasoma mpaka nukta kwenye huu uziIle time unabaki kuona aibu,ni pale
unafanya mtihan wa mathematics halafu
jina huandiki sababu unajijua wewe ni
kilaza!!!!!!!sasa mwalimu anakuja kugawa
mitihan baada ya kusaisha,,,anagawa
mitihan yote halafu wanafunz wote wamepata mitihan yao, pekee ako ndo
haujapata!!!!
halafu unakuja kusikia mwalimu anasema
kuna punda haijaandka jina ije hapa
hapo ndo utajua kwa nini titi ni ziwa lakini hakuna samaki
π πMkuu umesema watu wenye stress tupitie hapa
πππEx wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE[emoji39]MKAPIME[emoji19]"[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Saizi nipo apa pa fundi nguo pana foleni sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harusi sijui lini anapenda kushtukiza sana[emoji57][emoji57][emoji57]
πBasi utaondoka na stress..!
Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Future [emoji289]
ππ"Kuna mbaba mmoja mtanashati.....akivaaga suruali zake huku mbele anakuwa katunaaaaaa, yaani natamani nimyonye tu." - Kuna wadada walikuwa wanasema haya juzi pale Break Point, Kinondoni.
πKuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
πππMambo ya daladalan bhana
Boy: Dada mambo
Girl: mwanaume suruali nikupeleke WAP?
Boy: wanapouza mashati!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmecheka had nmepitiliza kituo naona mahali pame andikwa miltar lugalo afu niko ndan ya fensi naskiza atae kuja nielkeza[emoji12]