Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Good
 
tatizo la tecno ni nini acha kujikweza ww..
hakuna atafanya wa samsung mi tecno nisifanye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asanthe sana kwa hiki kichekesho,nimecheka kwa sauti eti nini,hakuna anachoweza kufanya samsung, tecno asiweze [emoji23][emoji23][emoji23]
 


Aiseeeeh!!

Daaaaah
 
SHEMEJI LAMBA HARAKA TUMALIZE NATAKA NIKAOGE, Jamaa kusikia vile akavunja mlango kwa hasira na kuingia ndani, kakuta mkewe na ndugu yake WANACHEZA KARATA"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu nomaa asee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
 
ZAMANI KIDOGO MIAKA YA 1999 kurudi nyuma MABIBI HARUSI walikuwa wakilia kwenye harus MATRON walikua na kazi za kuwafuta machozi hadi leso tatu au nne...SASA HIVI MABIBI HARUSU, wanaimba, wanacheka wanacheza kwaito hadi viduku....NAHOJI TU, ...Kilichokua kinawaliza wazamani nini, na kinachowafurahisha wa siku hizi ni kitu gani ?....kila mtu aniambie wazo lake.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
*mimi ninae soma Ujumbe huu bilaa kushauriwa na
mtuu tena kwaa akili zanguu timamu
nimetafakari sanaa tokaa kipindi kirefu
sikuweza kupata jibu nimeona bora aliyepost
post hii [HASHTAG]#lothrito[/HASHTAG] awe mume wangu halali wa ndoa bila pingamizi lolote kabisa* ✔ Asante
 
Makaka poa pia wanasoma ujumbe huu, jiandae kwa send of.
 

Cobra style. Eagle style
Nani katisha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna mdada hapa nimemuuliza anasema kilichokuwa kinawaliza zamani ni midume ya enzi hizo kuwa na madushe marefu na manene hivyo mdada akifikiria kwenda kulitumikia dushe kubwa kama la punda lazima kwanza alie.!
Ila eti siku hizi madume wengi wana "vifuniko vya peni"
a.k.a. Vibamia hivyo bibi harusi wengi hawana hofu tena.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…