Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

In a Nursery School Canteen...

There's a basket of apples with a notice written over it :

"Do not take more than one, God is watching"

On the other counter there's a box of chocolates,
A small child went & wrote on it.

"Take as many as U want, God is busy watching the apples"...

NEVER ACT SMART WITH Today's Generation..!.! [emoji12][emoji12]

[emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263]

KID :- Why some of ur hair are white dad...?
DAD : – Every time you make me unhappy , one of my hair turns white…
KID :- Now understand why grandpa’s hairs are all white…

Moral :- Don’t be over smart...
[emoji25][emoji25]
[emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263]

Child : Mummy why Gandhi has no hair on his head...?

Mummy : Because he speak only truth...

Child : Now I understud why ladies have long hair...

[emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263]

Now Ultimate [emoji12][emoji12][emoji12]

Teacher: How old is your father?
Kid: He is 6 years.
Teacher: What? How is this possible?
Kid: He became father only when I was born.
Logic!![emoji108][emoji15]

[emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263][emoji263]
Don't laugh alone, share with others
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UKIWA MUONGO USIWE MSAHAULIFU:
Kuna jamaa mmoja alikua kijiweni anawasimulia washkaj zake siku alivyotembelea mbuga za wanyama na akamuona swala mmoja bas akaanza kumkimbiza huyo swala,
JAMAA:-"nikamkimbiza mara nikamkamata na kumuangusha chini".(ghafla simu yake ikaita,akaenda akaongea kama dakika ishirini afu akarudi)
JAMAA:-Mazee niliishia wapi kwenye ile story
WASHKAJ:-uliishia pale umemuangusha chini
JAMAA:-aa bas mazee nilivyomuangusha chini nikaanza kumshika kalio mtoto mwili wa motoooo,nikampa ulimi mtoto kalainika jicho lishalainika,nikaanza kumpapasa taratibu bila papara huku mtoto kanikumbatia....
WASHKAJI:-(kimoyomoyo) duh hii kali hayo mambo yote anayafanya na swala au na nani?
Ghafla jamaa hajamaliza story yake washkaj zake wakaanza kuondoka bila kuaga
 
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] Umesababisha nitafute dikishenari


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ili utajirike lazima ufaham mambo makubwa mawili

Mambo yenyewe hata siyafaham ndo maana sijatajirika[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]tuendelee kuangaika tu ndugu yangu hakuna namna[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] ya leo haijakauka vizuri
 
siku ya valentine day hua napenda kutumia muda wangu kuwaangalia mademu wafupi waliovaa red dresses maana hua nawafananisha na kimtungi cha ORYX
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Mtatuuwa siyo kwa kutuchekesha huku[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii thread nimecheka sana....
Una uhuru wa kucheka lakini is not to that extent!

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
*Yaan tumefundishwa na walimu fek halafu tukapata vyeti original* [emoji23][emoji23][emoji23]
*basi sisi ni chotara tuna ka-ufeki na kauoriginal kidogo*
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
*Chotara wenzangu hamjambo*...akili za sam
 
Kwa wale wenzangu na mimi kipindi hiki raha sana, maana mabafu yetu paspoti size unaingia na sabuni haina haja ya kubeba ndoo ya maji, mvua ipo
Hadi raha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] ngoja nikavute cha asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…