Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
SIO CHA spoti spoti [emoji23][emoji23]Jamani kithungu kithunguuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIO CHA spoti spoti [emoji23][emoji23]Jamani kithungu kithunguuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[Emoji23][emoji23] hatariKila siku nikienda bank najaza vizuri zile slip zao na wananisahihishia vizuri lakini hata siku moja hawajawahi kuniwekea marks nilizopata.
Sasa leo nimegoma kuondoka hadi waniwekee marks nilizopata....
Namuona bank teller anaongea na askari hapa nadhani wanajadili wanipe alama ngapi
Hahaha mshenzi ww
Si kwa pumba hizi[emoji23]BREAKING NEWS
Nimefatilia taarifa ya press mpya MAKONDA juu ya UNGALIMITED arusha ni kwamba lema na jaji mkuu kifo cha yule dada aliyesema kabakwa hadi kufa ni kwmb diamond plutnum ndo msanii bora kwa sasa tz hayo aliyasema ozil wakati anafunga goli dhidi ya hardware za kusambaza mchanga kwenye uchaguzi wa kumtafuta miss wa korosho husaidia mtu aoge kwenye gari ambalo halina laptop zenye ukubwa wa chai ya maziwa yenye barabara za kwenda calculator maji makubwa ya Kilimanjaro ndio huleta matairi ya kifaru cha mwinuko wa bahari kwenye ukuta wa maji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BANGI ZINAFUNGIWA LINI?
Mkuu yamekukuta auMkeo anakuaga leo anakwenda saloon au kwenye kikao cha kina mama, anaoga anaingia chumbani anaanza kuvaa, anashika chupi ya kwanza anataka kuivaa anaiacha anachagua ya pili anaitazamaa anaiacha pia anaona ya tatu ndo inafaa kisha anavaa, wewe umelala tu kitandani unachat kwenye whatsapp hujiulizi swali "anachagua chupi nzuri ili nani akaione, kama kuna chupi mbaya kwenye list si azitupe anunue mpya".
Anakuaga anaondoka na wewe unamwambia poa mchana mwema wasalimie uko town, halafu ukiitwa fala unakuja juu eti "ooh mi mtoto wa mjini nimezaliwa ocean road".
Mak*lio yako?wwe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huu uzi daah naupendaga sana nimegombana na shemej yenu ila daah hpa nacheka yey kanunaMwalimu aliwauliza wanafunzi
"1+1 ni ngapi"?
Mwanafunzi mmoja akajibu
"ni 4"
Mlevi aliyekuwa anapita nje akastuka...
"Tutakufa mwaka huu kila kitu kimepanda!
Nauli,Sukari, Bia, Chakula
....... mpaka 1+1 iliyokuwa 2 nayo imekuwa 4![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji374][emoji374][emoji24][emoji24][emoji24][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiii*HIZI MVUA JAMANI*
```Acheni tyuuu ukikutana na mtu mfupi mwamvuli kichwani unaeza sema uyoga unatembea dadadeki!!!```[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahahaaaaaaa
Ukiona manyoya ujue kaliwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]BAUNSA : Baa Hii Washenzi Wote!
KAUNTA:Kwani Vip Mzee? Tumekukosea Nini?
BAUNSA : Nimeenda Chooni Jambazi Mmoja Na bastola si akaniwekea Kichwani Akadai Nikikataa Asinibake Ananilipua Risasi Ya Kichwa
KAUNTA: He Pole Wahuni Hao, Sasa Imekuwaje
BAUNSA : Imekuwaje Nini? Maswali Gani Hayo? Kwani Umesikia Mlio Wa Bunduki
[emoji16][emoji16][emoji16]