Situmii bando la viroba[emoji38] [emoji38] natumia bando la bangi na nimejiunga kwa wiki.Nilidhani wamekataza viroba nchi nzima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134]Mwanamke mrefu afu mwembamba akivaa wigi.. Akikaa mbali unaweza kudhani ni ufagio wa kukwangulia buibui
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
Duuu!!!! Atakua kabila gan cjui huyu…!!
Duuu!!!! Atakua kabila gan cjui huyu…!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji763] [emoji124] [emoji124]WANAWAKE BHANA MUNGU ANAWAONA
Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuasha mkewe
MUME:Amka twende jogging mke wangu? [emoji4]
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?[emoji19]
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya. [emoji54]
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa? [emoji53]
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby [emoji47]
MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?[emoji40]
MUME:Jamani mi sijasema hilo[emoji20]
MKE:Kwa hiyo mie muongo?
MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii[emoji21]
MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?[emoji36]
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.[emoji43]
MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......
Jamaa nimemuacha kibarazani kwake amewasha kipisi cha bangi anapiga paf anatafakari la kufanya[emoji189][emoji189][emoji189]
HahahaWanaume Bhana
Tunaushirikiano Sana, Eti Mwenzetu Akija Na Demu Gheto, Wengine Wote Tunaaga Kwa Sababu Mbalimbali ili mtu aliwe
Mungu Anatuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Atafungwa mpk jela ibomoke[emoji23][emoji23]Two thieves were to be jailed kulingana na kile ameiba
Kamau:aliiba crate ya soda so akafungwa miaka 24
Njoroge:aliiba tray ya mayai so miaka 30
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwaura collapsed. Aliiba ngunia ya mchele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Kama sio cha Arusha basi Jamaica hihihihiJE WAJUA…??
katika maisha yake yote ADOLPH HITLER hakuwahi kusema neno ASANTE hii ni kutokan na yeye kutokujua kiswahili…!!!
So lazima wote tuelewane bnaaa…!!!
Hahahahaaa,,, ilitoka kipnd anaendsha baiskel labda…!!KUNA DEMU ALIANDIKA STATUS YAKE HUMU "Alichonipa Mungu Mwanaadamu hawezi kukitoa" NIKAMUULIZA BIKRA YAKO IKO WAPI KANI BLOCK