Hahahaaaa,,, hiki ni cha bukoba[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama sio cha Arusha basi Jamaica hihihihi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]YAP:WADADA WA SIKU HIZI...
Mshahara Ukitoka Wana Maneno Matamu Hata Kwenye Dictionary Hayamo!! Eti "Wewe Ndo Kinjekitile Wangu"
Kwel kabsa umewaza positive…!!Je unafahamu JAZA UJAZWE?
Maana yake mjaze mimba binti yeyote wa Sumbawanga then kataa mimba uone kamamzee wake hajakujaza mimba wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Bangi hupelekea nithink positive[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WANAWAKE BHANA MUNGU ANAWAONA
Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuasha mkewe
MUME:Amka twende jogging mke wangu? [emoji4]
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?[emoji19]
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya. [emoji54]
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa? [emoji53]
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby [emoji47]
MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?[emoji40]
MUME:Jamani mi sijasema hilo[emoji20]
MKE:Kwa hiyo mie muongo?
MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii[emoji21]
MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?[emoji36]
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.[emoji43]
MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......
Jamaa nimemuacha kibarazani kwake amewasha kipisi cha bangi anapiga paf anatafakari la kufanya[emoji189][emoji189][emoji189]
Ngoja nikavute nae nimsaidie mawazoWANAWAKE BHANA MUNGU ANAWAONA
Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuasha mkewe
MUME:Amka twende jogging mke wangu? [emoji4]
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?[emoji19]
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya. [emoji54]
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa? [emoji53]
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby [emoji47]
MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?[emoji40]
MUME:Jamani mi sijasema hilo[emoji20]
MKE:Kwa hiyo mie muongo?
MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii[emoji21]
MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?[emoji36]
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.[emoji43]
MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......
Jamaa nimemuacha kibarazani kwake amewasha kipisi cha bangi anapiga paf anatafakari la kufanya[emoji189][emoji189][emoji189]
[emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104]hayaWanaume Bhana
Tunaushirikiano Sana, Eti Mwenzetu Akija Na Demu Gheto, Wengine Wote Tunaaga Kwa Sababu Mbalimbali ili mtu aliwe
Mungu Anatuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaa,,,, sio kwa kuchangnyna huko,,, unaweza kuamua kuipika bangi km mboga kabsaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ngoja nikavute nae nimsaidie mawazo
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] hunipelekea nithink positive[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asikwambie mtu bangi tamu sana ukiipika kwa nazi then ule na ugali[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] niliwahi kufanya hivyo 2004, ila usingizi wake ni noma, maana ilikuwa ni kuamka kwenda toilet na kurudi kulala siku nzima[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaa,,,, sio kwa kuchangnyna huko,,, unaweza kuamua kuipika bangi km mboga kabsaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, et ukaiwk nazi, ww jamaa sio mzim kabsaaa…!Asikwambie mtu bangi tamu sana ukiipika kwa nazi then ule na ugali[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] niliwahi kufanya hivyo 2004, ila usingizi wake ni noma, maana ilikuwa ni kuamka kwenda toilet na kurudi kulala siku nzima[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio maana siku hizi navuta tu[emoji377]
Its true believe me, then mbegu zake nilikuwa nagandisha, then nakula kama ufuta[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji377][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, et ukaiwk nazi, ww jamaa sio mzim kabsaaa…!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] ,,,umenishnda tabia…!!!Its true believe me, then mbegu zake nilikuwa nagandisha, then nakula kama ufuta[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji377]
WANAWAKE BHANA MUNGU ANAWAONA
Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuasha mkewe
MUME:Amka twende jogging mke wangu? [emoji4]
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?[emoji19]
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya. [emoji54]
MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa? [emoji53]
MUME: Basi yaishe endelea kulala
MKE: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?
MUME:Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby [emoji47]
MKE:Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?[emoji40]
MUME:Jamani mi sijasema hilo[emoji20]
MKE:Kwa hiyo mie muongo?
MUME:Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii[emoji21]
MKE:Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?[emoji36]
MUME:Sikia we lala mie naenda jogging.[emoji43]
MKE:Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"
MUME:Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
MKE: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe......
Jamaa nimemuacha kibarazani kwake amewasha kipisi cha bangi anapiga paf anatafakari la kufanya[emoji189][emoji189][emoji189]
hahaaaaaaa. Acha uongo bwana mdogo aisee, utavunja mbavu zangu
😀😀😀😀Majivuno mda mwingn hayafai, jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake alikuwa anapiga, kwa kutaka kujionyesha akapokea simu na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulaliana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
MmhYAP:WADADA WA SIKU HIZI...
Mshahara Ukitoka Wana Maneno Matamu Hata Kwenye Dictionary Hayamo!! Eti "Wewe Ndo Kinjekitile Wangu"