Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Je unafahamu JAZA UJAZWE?

Maana yake mjaze mimba binti yeyote wa Sumbawanga then kataa mimba uone kamamzee wake hajakujaza mimba wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Bangi hupelekea nithink positive[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
 
Kwel kabsa umewaza positive…!!
 
Mlinzi mmoja wa mochwari saa nane usiku alisinzia akiwa lindo alipoamka aliwaskia watu ndani ya mochwari wanaongea "hii yako hii yangu" akahisi labda wachawi wanagawana maiti, kumbe wizi walikuwa wanagawana mali walizoiba[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja nikavute nae nimsaidie mawazo
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] hunipelekea nithink positive[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume Bhana
Tunaushirikiano Sana, Eti Mwenzetu Akija Na Demu Gheto, Wengine Wote Tunaaga Kwa Sababu Mbalimbali ili mtu aliwe

Mungu Anatuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104][emoji104]haya
 
Ngoja nikavute nae nimsaidie mawazo
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] hunipelekea nithink positive[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa,,,, sio kwa kuchangnyna huko,,, unaweza kuamua kuipika bangi km mboga kabsaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Hahahaaa,,,, sio kwa kuchangnyna huko,,, unaweza kuamua kuipika bangi km mboga kabsaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Asikwambie mtu bangi tamu sana ukiipika kwa nazi then ule na ugali[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] niliwahi kufanya hivyo 2004, ila usingizi wake ni noma, maana ilikuwa ni kuamka kwenda toilet na kurudi kulala siku nzima[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio maana siku hizi navuta tu[emoji377]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, et ukaiwk nazi, ww jamaa sio mzim kabsaaa…!
 
Its true believe me, then mbegu zake nilikuwa nagandisha, then nakula kama ufuta[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji377]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] ,,,umenishnda tabia…!!!
 



ha ha ha
 
Siku moja John na Beka walikuwa porini wanakunya, jinsi ya kutawaza ikawa inshu.
Beka kamuuliza Joni... "hivi joni mavi huwa yanang'ang'ania kwenye nguo zako?"
Joni akajibu kwa msisitizo.... "Hapana... hapana beka, haijawahi tokea mavi yakagandia kwenye nguo zangu.
Basi beka kwa haraka sana akachamba kwa kutumia shati la joni..
 
😀😀😀😀
jamani jamani sifa hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…