Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hahahahaha,cement 9800/=huku mjini.
 
Hiyo avatar yako ingekuwa mimi ningeambiwa nishakula kashata za bangi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kwanini mkuu
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kwanini mkuu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nishakula bangi sahv sioni vizuri
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hapa nasubiri nipate hela ninunue matarumbeta[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
Lol
 
Mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na taifa lisilokuwa na chama cha upinzani ......na mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na taifa kuwa na kikundi cha waasi kinachoendesha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Sitaki mapovu hapa........
 
```mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na taifa lisilokuwa na chama cha upinzani ......na mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na taifa kuwa na kikundi cha waasi kinachoendesha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Sitaki mapovu hapa........
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] Utani wa [emoji109] [emoji109]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji38] [emoji38] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Dah! Kweli kiswahili kigumu cheki hapa[emoji116]
Eti United Nations kwa kiswahili ni Umoja wa Mataifa
N ya kizungu kiswahili inageuka M
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
 
Mawazo yako siyo kabisa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
Yaniii weeee acha nilikuwa sayari nyingine atiii
 
Hahahahahahaha hizi bange hizi!;!!?? [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Jamaa alikuwa na mkewe wakitalii mbuga za wanyama, ghafla wakamuona swala (gazelle) akikimbizwa na duma (cheetah).
Basi mke akamuambia mumewe "tupinge akikamatwa swala nasoma msg zako za WhatsApp, na asipo kamatwa milele sintasoma"! Angalia kilichotokea hapo![emoji23][emoji23]
 
Mchungaji: Pepo toka

Pepo akajibu: stoki

Mchungaji: Toka kwa jina la Yesu

Pepo: Stoki

Mchungaji: Nimesema toka kwa jina la Yesu

Pepo: Nimetumwa nije nikae kwa mtu huyu ili kesho aokote milioni 100.

Mchungaji kusikia hivyo akasema "Nimesema
toka uniingie mimi"
waumini:Aaaa.
CHEZEA PESA WEYE.[emoji2][emoji2][emoji2]‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji100]
 
Kesho yake asubuh ningesepa zangu tu
 
haya bwana umeshindikana
 
Mlevi mmoja wakati yupo njiani anarudi kwake kaanguka kama mara 2 na kutoka manundu mawili usoni[emoji38] [emoji38] mwanawe wa kiume kamuona, akamuuliza "baba nini hizo usoni?"
Mlevi kajibu "Digrii hizi mwanangu, mi mlevi kwa muda mrefu sasa"[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ukimuona mlevi ana manundu usoni ujuwe hizo ni DIGRII
[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…