Hahahahaha,cement 9800/=huku mjini.Nimekaa Nikafikiria Sanaaa!
Unga 50kg ni 78,000/=.
Na Cement 50Kg Ni 16,000/=.
[emoji35] Kumbe kujenga nyumba ni rahisi kuliko kujenga mwili!!?
[emoji117] Nisiskie tena mtu ana kitambi na hana nyumba!!!
[emoji88]
[emoji113]/|>
[emoji158]
/ /
[emoji149][emoji149]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
_ Bongo_
😀😀😀😀😀 kinachokutisha hapo nini?Iyo avatar yako inanitisha mpk naogopa kuingia jf[emoji20]
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kwanini mkuuHiyo avatar yako ingekuwa mimi ningeambiwa nishakula kashata za bangi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 kwanini mkuu
LolHapa nasubiri nipate hela ninunue matarumbeta[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] Utani wa [emoji109] [emoji109]```mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na taifa lisilokuwa na chama cha upinzani ......na mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na taifa kuwa na kikundi cha waasi kinachoendesha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Sitaki mapovu hapa........
Yaniii weeee acha nilikuwa sayari nyingine atiiiMawazo yako siyo kabisa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
Hahahahahahaha hizi bange hizi!;!!?? [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Dah! Kweli kiswahili kigumu cheki hapa[emoji116]
Eti United Nations kwa kiswahili ni Umoja wa Mataifa
N ya kizungu kiswahili inageuka M
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji100]*JE WAJUA?*
*Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganisha kope za macho na sehemu ya kutolea haja kubwa (anus) ndo mana kila ukijaribu kubana jicho moja sehemu ya haja kubwa hufunguka bila kutarajia?*
*nawaona cheki unavojaribu...utakuja kunya buree jaman....[emoji23][emoji23]*
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kesho yake asubuh ningesepa zangu tuUmeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama hukushiba ungesema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
haya bwana umeshindikana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nishakula bangi sahv sioni vizuri
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]