Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Ipo siku watu mtatukuta wadi ya mifupa looohhh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mzee mmoja alikuwa kavaa msuli kaka kibarazani, mwanawe akaona mambupu meusi sana, ikabidi aulize
Mtoto Baba mbona mambupu yako meusi tii?
Baba Mashine ya mama yako ni ya diesel inatoa moshi sana
Duh aisee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli bangi mbaya lakini siachi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Kuna jamaa tumuite John alikuwa anamkubali binti mmoja tumuite Jane ile kisawasawa sema sasa John akawa anashindwa kumwambia Jane. Sasa katika kujipitishapitisha kwao na huyo msichana bhana siku akamkuta huyo dada anafua chupi zake nje hapo,
John: Aah Jane,mambo vipi!?
Jane: Safi tu John!!
John: Jane unaweza kunisaidia maji ya kunywa kidogo!?
Jane: Sawa huku akiingia ndani.
John: Akachukua lile beseni lililokuwa na zile chupi akawa anakunywa yale maji
Jane: Jane kufika kamkuta John anakunywa yale maji,akashangaa we John mbona unakunywa hayo maji machafu!?
John: Aaah Jane yan nyama nsile hata na supu nsinywe kweli!?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] *Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri maswali"[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,,nd utajua nini maana ya elimu bure…!!
 
Dangote Tajiri wa Africa nzima Anamiliki Viwanda na Vitega Uchumi Kibao Lakini Ana Demu mmoja tu

Wewe Unamiliki Kitanda Godoro Tv na kasabufa ka Elfu 70 tu Eti una Mademu 20

ACHA BANGI BRAZA
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
 
Just for laugh

Ukitaka kujua kama traffic nao wanachoka kukaa barabarani basi ni leo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Traffic kamkamata dereva wa bajaji "Eti hajavaa helmet" itakuwa alikuwa kishavuta yule sio bure[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Onyo: Bangi mbaya usivute juani[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
 
"Kuna mbaba mmoja mtanashati.....akivaaga suruali zake huku mbele anakuwa katunaaaaaa, yaani natamani nimyonye tu." - Kuna wadada walikuwa wanasema haya juzi pale Break Point, Kinondoni.
We utanyonya hadi yasiyofaa
 
Sasa unatafuta mini hapa..embu rudi haraka ulikotoka bana..mbona hueleweki!!!
 
*Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa...*
*Trust me Kuna wanawake wangekuwa wanaishi misituni mda huu.....*
*Wanavyopenda hela* [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ahaahaahaaaaaaa.!!! no kweli kabisa na ingekuwa rahisi sana kwa mwanaume yeyote kuuwapatia huko mara wakiachwa na hao ngedere...sijui nianze safari za maporini au vipi.!,!
 
Huyo hata akili ya kuku no refu kuliko ya kwake....teja wa maisha Hugo hafai
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hatimaye ile kauli ya Tigo ya Jaza ujazwe imetimia rasmi leo hii baada ya Simba sport club ?.
kumjaza Mbao Fc na Mbao Fc kabla ya kujazwa inasemekana alimjaza Yanga ya dar-es salaam mara mbili mfululizo

Mbao Jaza Yanga ujazwe na Simba

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…