Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Matokeo kidato cha nne, div 1 moja, div 2 moja , div 3 Na 4 hakuna, sifuri 200.
Afisa elimu: mkuu wa shule mbona wanafunzi wengi wamefeli
Mkuu wa shule: tumewaandaa wawe wakuu wa Mikoa Na wilaya[emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji15] [emoji15]
 
Naomba tuheshimiane aliemwaga MAKINIKIA hapa getini kwangu aje atoe,sijawahi kutofautiana na serikali.
[emoji19] [emoji19] [emoji19]
a75943e2c84cfa8afa84afd7cf22d143.jpg
 
USILOLIJUA KUHUSU KONOKONO
Konokono hana mfupa wowote kwenye mwili wake na pia konokono ni aina ya
"Hermaphrodites",
Kwa maana kuwa wanamiliki jinsia mbili(kiume na kike). Kwenye kujamiiana
wanaviziana, atakaeruhusu kupandwa ndiyo anakuwa jike wakati huo na atataga mayai.Huyo ndio konokono[emoji13][emoji13]:: lakin embu fikiria: binadamu tungekua
"Hermaphrodites" na hizi akili zetu
ingekuwaje? Tungetembeleana kweli? Mkeo ukimzingua anakuvizia usiku umelala anakupa mimba! Unacheka!, shauri yako shukuru Mungu.[emoji13]
 
Kuna [HASHTAG]#dogo[/HASHTAG] hapa [HASHTAG]#kameza[/HASHTAG] sh.500 sasa tunataka kuitoa sijui tumpeleke #M-pesa au [HASHTAG]#Hospital[/HASHTAG] Nataka kuokoa maisha hapa
 
Miaka 30 iliyopita kipindi kama hiki ndio nilikuwa nanenepa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unataka kujua kwanini[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]

Nilikuwa naramba masufuria yalopikiwa futari[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
John sanga ni mwanafunzi mchoraji,siku moja alichora noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu..mwalimu alipoingia darasani ghafla akajikwaa akaanguka na kupasuka pua.....
Wakati alikua anakimbilia ile ela kuiokota,akauliza wanafunzi nani aliechora hapo chini?
Wanafunzi wote wakamtaja john
Mwalimu kamua kumpigia baba yake john simu(mzee sanga).
Mzee sanga kapokea akiwa hospital kalazwa, mwalimu akamweleza makosa ya mwanae, mzee sanga akamwambia afadhal yako wewe umepasuka pua hujalazwa, huyo mbwa Jana kachora uchi Wa mwanamke kwenye socket ya umeme
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
UNAISI MZEE SANGA KAUMIA WAPI!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] john weeee
 
Itakuwa ndio niliyekutana nae pale kichochoroni. Akikuwa na chupa yake ya konyagi mkononi, nami nilikuwa na mzinga nimeshikilia akaniuliza: NAJIONA KWENYE KIOO AU.... mimi nikajibu: HATA MINI NASHANGAA KIOO KINAZUMGUMZA....
Sasa hivi ndo nagundua kweli sisi vyapombe hatuna akili nzuri
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Demu: Mambo?
Dave: Poa nani?
Demu: Happy
Dave: Happy nani?
Demu: heee!! kwani unawajua wangapi?
Dave: Mmoja
Demu: mtaje
Dave: Happy Birthday
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]
 
Back
Top Bottom