Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Jaman wengine tukicheka sana tunaumwa punguzeniii
Na mbado...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
USHEHE NAO SHIDA
kuna huyo shehe alikuwa ana takiwa kuswalisha ijumaa moja moshi,wakti akiwa anaoga akasikia ADHAANA hivyo akatoka harakaharaka bafuni na kwa ajili ya haraka akajisahau hivyo badala ya kuchukua kanzu akachukua dira la mke wake,pia badala ya kuchukua barakashe akavaa chupi ya mke wake,akatoka haraka akachukua baskel tayari kwa kwenda msikitin,alipokuwa njian akaona kama lile dira kama linamzuia kuendesha akaamua akunje lile dira,alipokunja matako yako waz akiwa anaendesha watu wakamuliza,
WATU:"SHEHE NI NINI HIYO?"
SHEHE:"MASTAILI!!!"
hatareee!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
MKE-hili jiji letu siku hizi
linawasichana wazur jaman
MME-wabaya watoke wapi wakati tulishawaoa

Mke naona amebeba furushi nadhani atakua ameenda kufua[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
c404dea96b518ff3991dcca5e02f7b9b.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Stress zimerudi baada ya kumaliza kusoma japo mbavu hoi, machozi mashavuni na taya zauma kwa kujizuia kucheka kwa sauti
Rudia tena kusoma stress zitaisha tu!..
Jumlisha na hii hapa!
=====================================
Nimejaribu kunywa viroba ili nione kwanini vinapigwa marufuku, saa hii kila nikitaka kusimama naanguka.. Nahisi kutakua na tetemeko la ardhi..![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Basi utaondoka na stress..!

Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Future [emoji289]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NILIKUWA KATIKA MGAHAWA NAKULA,
SOON NAMUONA X WANGU ANAMUOMBA
MSAMAHA MUUZA CHAKULA
NDIPO NILIPOMUITA MUUZAJI NA
KUMUULIZA KUNA NINI???
YULE MUUZAJI KANIAMBIA YULE DADA KALA CHIPS KUKU KASHINDWA KULIPA
SASA ANAMUOMBA AKAMENYE VIAZI.
NDIPO NIKAINGIA MFUKONI NA KUMPA
ELFU 25 YULE MUUZAJI AKANUNUE GUNIA
LINGINE LA VIAZI
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Kuna jamaa nimemsikia kwny redio anasema amefanya kazi kwa miaka 10 lkn hajaona matunda

Nimewachukua rafiki zangu ndio tupo njiani tumebeba Maembe na Machungwa tunampelekea ayaone halafu narudi nayo

Mimi huwa nna huruma sana
 
Usha wahi kutemwa na demu
Mkali hadi ukajikuta umeishiwa nguvu ukashindwa
Umuambie nini ndio akuelewe mara ghafla uka
Jikuta ume ropoka
"Baby I am pregnant " [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom