Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna jamaa nimemsikia kwny redio anasema amefanya kazi kwa miaka 10 lkn hajaona matunda
Nimewachukua rafiki zangu ndio tupo njiani tumebeba Maembe na Machungwa tunampelekea ayaone halafu narudi nayo
Mimi huwa nna huruma sana
Asante sana kwa kunipunguzia stress.Hujapotea kwani wewe huna stress..?
------------------------------
nimemtembelea,rafiki yangu mida ya saa saba hivi na tayari alikuwa amesonga ugali nikamtuma nje wakati anatoka nje nikaongeza maji kwenye sufuria kumbe sikujuwa alipima maji kulingana na unga uliobaki sasa hivi tunakunywa uji hatuongeleshani .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kumbe_wote_hatupendangi_ujinga!
Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai
Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]MKE-hili jiji letu siku hizi
linawasichana wazur jaman
MME-wabaya watoke wapi wakati tulishawaoa
Mke naona amebeba furushi nadhani atakua ameenda kufua[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usha wahi kutemwa na demu
Mkali hadi ukajikuta umeishiwa nguvu ukashindwa
Umuambie nini ndio akuelewe mara ghafla uka
Jikuta ume ropoka
"Baby I am pregnant " [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nauliza tu.!!!!!!![emoji102]
[emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kina mama wengi ni waongo utawasikia eti mwanangu ndio kila kitu kwangu mara ooooh nampenda mwanangu kuliko chochote.
UKITAKA KUJUA KAMA KWELI MAMA ANAMPENDA MWANAWE KULIKO MUME WAKE ANGALIA KWENYE KUGAWA MBOGA ...[emoji134][emoji134]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Shida ya demu mfupi ukirudi unakuta
kakufulia vizuri tu,,,,
Lakini hajaanikaa!!!