Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeacha nikacheka kwa sauti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani jamani haya sawaWakati huu wa baridi, mademu wembamba mapaja yao ni ya baridi kama panga lililolala nje.. 🙂 🙂
We unaumwa ile pale yanga cBAC MKUU WA MKOA WA MBEYA akawauliza mafarisayo na wananchi WA MBEYA "niwape SUGU au YANGA ambaye Hana HATIA..... (mkuu wa Mkoa alikuwa anataka kumtoa YANGA mikononi mwa wana MBEYA).... Wananchi WA MBEYA wakapaza Sauti zao...... tunamtaka SUGU, tupatie SUGU, Tupe SUGU, Msulubishe YANGA, Msulubishe.... Mkuuu wa mkoa akauliza je huyu asiyekuwa na HATIA (YANGA) asulubiweee na apigwe misumari bila kuwa na hatia?, wakasema asulubiweeeee, Bac MKuu wa mkoa akanawa mikono , kisha akasema dhambi iwe juu yenu, juu ya watoto wetu Bac MKUU WA Mkoa Akamfungulia SUGU na akamtwaaa YANGA na akawapatia wana PRISONS wamfanye watakalo. Basi wakamchukua wakamfanyia kila Dhihaka wakampigilia misumari 2 na kumtundika SOKOINE wakaweka na kibao juu ya msalaba huyu ndiye CHURA HALISI, basi Alikuwepo Akida mmoja anaye toka SIMBA kusema HAKIKA Huyu CHURA Alikuwa na HATIA.
watu kwa uchokozi.! hivi ukipigwa utalia kweli?BAC MKUU WA MKOA WA MBEYA akawauliza mafarisayo na wananchi WA MBEYA "niwape SUGU au YANGA ambaye Hana HATIA..... (mkuu wa Mkoa alikuwa anataka kumtoa YANGA mikononi mwa wana MBEYA).... Wananchi WA MBEYA wakapaza Sauti zao...... tunamtaka SUGU, tupatie SUGU, Tupe SUGU, Msulubishe YANGA, Msulubishe.... Mkuuu wa mkoa akauliza je huyu asiyekuwa na HATIA (YANGA) asulubiweee na apigwe misumari bila kuwa na hatia?, wakasema asulubiweeeee, Bac MKuu wa mkoa akanawa mikono , kisha akasema dhambi iwe juu yenu, juu ya watoto wetu Bac MKUU WA Mkoa Akamfungulia SUGU na akamtwaaa YANGA na akawapatia wana PRISONS wamfanye watakalo. Basi wakamchukua wakamfanyia kila Dhihaka wakampigilia misumari 2 na kumtundika SOKOINE wakaweka na kibao juu ya msalaba huyu ndiye CHURA HALISI, basi Alikuwepo Akida mmoja anaye toka SIMBA kusema HAKIKA Huyu CHURA Alikuwa na HATIA.
Duh kali
[emoji16][emoji16][emoji16]miwani ya kwanza ilitengenezwa mwaka 1284 huko Italy wewe umeanza kuvaa miwani juzi tu tayari usalimii watu pumbavu wewe
[HASHTAG]#WapostPumba[/HASHTAG]
Ntaenda kushtaki kwa kaka makoo..watu kwa uchokozi.! hivi ukipigwa utalia kweli?
Juma Abduli nae kikosi C, subirini tena na Leo mnakufa nyingi tu..We unaumwa ile pale yanga c
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahhaNowadays before dating anyone ask them to bring a letter of recommendation from their EX. You deserve to know who you are dealing with....[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NDANI YA BANK"
TELLER: mbona umenipa pesa fake
MKAKA: sasa hapo Shida iko wapi dada pesa ni yangu mimi account ni yangu mimi wewe weka tu haina shida
Kweli ukipita hapa usipopata kitakachokuchekesha basi ww utakuwa cyo wa kawaida !! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]UBAGUZI KWENYE FOLENI DAR.
Watu wenye magari makubwa kama VX V8 na Range Rover wanauziwa property magazine zenye taarifa za apartments na nyumba zinazouzwa.
Watu wenye gari ndogo kama IST, Probox, Vitz, Premio n.k. wanauziwa korosho, weipa, jumper cables na alfabeti za watoto.
Watu wa daladala wanauziwa sumu ya panya mende viroboto sisimizi na mitego ya panya, diamond karanga.
Wenda kwa miguu wanaletewa dili za dhahabu kwenye kichupa; au bahasha ya kaki unaambiwa ina hela mtu kadondosha; au smartphone kali unaambiwa lete elfu 30 tu [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani[emoji3]hii imenigusa saana mkuu[emoji3]majuzi kati na mimi yalinikuta,nlichkua dem mwenye miguu kama ya mange kimambi[emoji3]alfajir kumgusa paja nlihisi kama natoa soda ilioganda kwenye friji[emoji3]