Kama unadhani wasanii wa kike Tanzania wanavaa vibaya, basi hujamuona Rihanna

Kama unadhani wasanii wa kike Tanzania wanavaa vibaya, basi hujamuona Rihanna

_20240729_050424.JPG
 
Huyo yuko kazini hizo ni brand zake zinaitwa fenty sauvage .........kawa mpaka Bilionare kwa huo mzigo .... sasa tofautisha hawa kanga manyoya wadangaji vidagaa papa kazi kuambukizana yutiyai na gono............swali ni wakibongo wanatangaza nini ? Au ndio magonjwa tour???
 
Hizi ndio nyuzi za kujenga sasa, hata huyo Rihana mbona misioni tatizo kwenye mavazi yake mkuu...🤗
 
Back
Top Bottom