Huyu mtanzania kwao mila na desturi zao zinaruhusu uzandiki.Wanawake wana dunia yao kimavazi, na nadhani wanahitaji kuwekewa "brake" maalumu duniani kote.
Tukiendelea hivi, baada ya miaka 5 wanawake watatembea uchi wa mnyama. It is too much!
Hebu mtazame Rihanna hapa chini.
View attachment 3054926