Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mm sihusiki, Ila naona mashambulizi kila konaMmetukalia kooni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sihusiki, Ila naona mashambulizi kila konaMmetukalia kooni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mwingine huko katumia viagra kwaajiri ya kumkomoa mwanamke sasa kakutana nacho kumbe kaji overdose 🤣🤣🤣Mm sihusiki, Ila naona mashambulizi kila kona
Doh na huyo mwanamke hakutokea? [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwingine huko katumia viagra kwaajiri ya kumkomoa mwanamke sasa kakutana nacho kumbe kaji overdose [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama ni hivyo hakuna sababu ya kuoaWanaume hawaoi kwa ajili ya kutafuta furaha, hilo siyo lengo la ndoa kwa wanaume. Lengo kuu ni kuendeleza kizazi.
Wanawake wanaolewa kutafuta furaha. Ndoa kwa mwanamke ni furaha kubwa sana sana.
Shida wanaume tumesahau tunaoa kwa ajili gani..... Mwanaume anaoa ili kuendeleza kizazi chake, au uzao wake, haoi kwa ajili ya kuifurahisha jamii au mtu yeyote.
Vitabu vitakatifu vyenyewe vinaonesha manabii na watakatifu walikuwa wanapambana sana kuhakikisha wanapata watoto wa kuendeleza kizazi au urithi wao.
Cha msingi kama mwanaume, hakikisha wanao wa kuendeleza kizazi wanazaliwa ndani ya ndoa, hata ukipata wa nje sio kosa maana hata Ibrahimu mwenyewe alikuwa na Isaka (Mtoto wa Sara, mke halali) na Ishmael (Mtoto wa Hagari, kijakazi wake). Pia Ibrahimu alikuwa na watoto wengine 6 ambao alizaa na masuria.
Hivyo wanaume oeni mkiwa na lengo 1 tuu, kuendeleza kizazi. Msioe kwa kutafuta furaha. Furaha ya mwanaume haijawahi kuwa ndoa.
Wanaume acheni kujifunga katika mawazo ya kwamba ukioa ndiyo hauruhusiwi kuwa na masuria. Kama una uwezo haikatazwi kuwa na masuria. Ila siyo lazima. Kama unaona mkeo anakutosha basi tulizana na mkeo.
NDOA NI FURAHA KWA MWANAMKE, KWA MWANAUME NI KIENDELEZA KIZAZI.
Wanawake ndio mnatisha, sahivi hata kutongoza naogopa financial servicesMnatutisha jamani , but all in all kuwa watu wanaenjoy ndoa zao sana tu, muhimu ni kumpata mtu sahihi
Dah, nimelike hoja yako,Ukitaka uishi kwa amani kwenye ndoa oa binti wa kiislam ,
Wa kwetu Wana athiriwa na European culture.Mabinti wengi wa kikristo wapo kama wamechanganyikiwa wakiolewa na hawajui wanachokifanya kwenye ndoa, tena awe mlokole nikupe pole.
mimi nitaoa binti wa kiislam ila nitajitahidi ni mgeuze iman yake na ikishindikana nitajua cha kufanya.
Hawa mabinti wamefunzwa vyema sana na wanajua wanachofanya ni mabinti wanajua sana maana ya ndoa na sijui hawa wa kwetu wana kwama wapi
Na huyo binti wa kiisilamu awe na misingi ya hiyo dini kweliUkitaka uishi kwa amani kwenye ndoa oa binti wa kiislam ,
Duh nyie wanaume ndiyo mna mambo mengi, wadada kibao kwenye list😔Wanawake ndio mnatisha, sahivi hata kutongoza naogopa financial services
Ujumbe umenyooka sanaWanaume hawaoi kwa ajili ya kutafuta furaha, hilo siyo lengo la ndoa kwa wanaume. Lengo kuu ni kuendeleza kizazi.
Wanawake wanaolewa kutafuta furaha. Ndoa kwa mwanamke ni furaha kubwa sana sana.
Shida wanaume tumesahau tunaoa kwa ajili gani..... Mwanaume anaoa ili kuendeleza kizazi chake, au uzao wake, haoi kwa ajili ya kuifurahisha jamii au mtu yeyote.
Vitabu vitakatifu vyenyewe vinaonesha manabii na watakatifu walikuwa wanapambana sana kuhakikisha wanapata watoto wa kuendeleza kizazi au urithi wao.
Cha msingi kama mwanaume, hakikisha wanao wa kuendeleza kizazi wanazaliwa ndani ya ndoa, hata ukipata wa nje sio kosa maana hata Ibrahimu mwenyewe alikuwa na Isaka (Mtoto wa Sara, mke halali) na Ishmael (Mtoto wa Hagari, kijakazi wake). Pia Ibrahimu alikuwa na watoto wengine 6 ambao alizaa na masuria.
Hivyo wanaume oeni mkiwa na lengo 1 tuu, kuendeleza kizazi. Msioe kwa kutafuta furaha. Furaha ya mwanaume haijawahi kuwa ndoa.
Wanaume acheni kujifunga katika mawazo ya kwamba ukioa ndiyo hauruhusiwi kuwa na masuria. Kama una uwezo haikatazwi kuwa na masuria. Ila siyo lazima. Kama unaona mkeo anakutosha basi tulizana na mkeo.
NDOA NI FURAHA KWA MWANAMKE, KWA MWANAUME NI KIENDELEZA KIZAZI.
Waislamu huwa hawanaga ndoa.Ukitaka uishi kwa amani kwenye ndoa oa binti wa kiislam ,