Kama unaenda kwa Mkapa leo kuishangilia Zesco kapimwe akili

Kama unaenda kwa Mkapa leo kuishangilia Zesco kapimwe akili

Mbona mwaka jana mlishangilia wa Algeria, mkaja mkashangilia Al Ahly, mkaja mkashangilia Nkana ?
 
Mkuu sikuwahi kujua kwamba na wewe ni kilaza namna hii, kwenye hili naomba ukaanze kupimwa akili wewe mwenyewe. Umesahau mwaka jana mpaka nlijifunza Ki-Congo, au ulidhani malipo ni hadi mbinguni?. Wenye uwezo wa kushangilia acha washangilie labda mtajifunza.
Leo kutakukuwa na game ya kukata na wembe kati ya watetezi wa nchi dhidi ya wageni Zesco United pale katika dimba la mkapa.

Young Africans ndio timu pekee inayowakilisha nchi katika michuano hii mikubwa kabisa barani Africa hasa baada ya wadau mikia kuangukia pua kwa aibu ya mwaka kwa kusuuziwa rungu na UD Songo jina ambalo ukilitaja kwa shabiki yeyote wa mkia jicho atakalokuangalia kama ingalikuwa ni silaha basi ni AK47.

Kinachonishangaza ni hawa Mashabiki wa MIKIA kupumbazwa na kupofushwa kwa kiwango cha juu na kipigo cha suprise walichokipata dhidi ya watoto wa mujini UD Songo mpaka kufikia hatua ya kukubali kuolewa bila mahari na Zesco United.

Sasa ninyi na mlioamua kuwapa 071... wote mtaabika vibaya mno pale taifa halafu mnanishangaza sana hivi hamjui Dar Es Salaam Young Africans ndio wakombozi wenu?

Njooni kwa wingi mumuone CR7 Molinga straika Mbavu akifanya yake Taifa na mshuhudie namna mme wenu Zesco anavyofanyiwa matusi leo.

Jambo moja la msingi kwanini mnateseka?
Yanga akifungwa au kutolewa katika michuano hii anatua zake Shirikisho hana la kupoteza nyinyi mikia kwani mnashindania kombe gani msimu huu?
😀

#msimuhuumtapatataabusana
#napendasoka
#utaniwajadi
#chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Mbona mwaka jana mlishangilia wa Algeria, mkaja mkashangilia Al Ahly, mkaja mkashangilia Nkana ?
Shangaa na wewe leo hii mapovu yanawatoka kama wamelishwa omo yanga bhana chefuuu[emoji57]
 
Yanga tukitolewa na zesco haooo kombe la shirikisho kwenye makundi, kimataifa bado tupo sana
Huko ndiko kwa Yanga, miaka 2 mfululizo pointi 3, wakishiriki mwaka huu, watafikisha pointi 4.5 ambazo labda zitatupa nafasi nyingine 4 kwenye mashindano ya CAF.

Vv
 
Fact jibu mfano Azam fa cup winner je naniliu bingwa Wa nni msimu uliopita sio enz za mababu
Kwahyo UEFA timu zote zinazoshiriki ni mabingwa wa ligi zao uko ulaya? na unafikiri timu zote zinazoshiriki CAF Champions ni mabingwa kwenye ligi zao? Mpira mmeanza fuatilia juzi nyie
 
Kwahyo UEFA timu zote zinazoshiriki ni mabingwa wa ligi zao uko ulaya? na unafikiri timu zote zinazoshiriki CAF Champions ni mabingwa kwenye ligi zao? Mpira mmeanza fuatilia juzi nyie
Umeulizwa jibu kachukua kombe gani basi tunahitaji ayo majibu kmc ajachukua kombe lolote lakin kashiriki nimeanza kushabikia juzi mim jibu hili simba alikua bingwa 2007 ligi ndogo finali alicheza na nani matokeo yalikuaje ?? Na mechi ilichezwa wapi mtani usipaniki jibu maisha yaendelee ndio mpira
 
Back
Top Bottom